Kortini kwa kumzushia Mwamunyange
Sheria ya Mtandao imeanza kufanya kazi baada ya mwanafunzi wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Benedict Angello Ngonyani kupandishwa kizimbani akikabiliwa na shtaka la matumizi mabaya ya mtandao kwa kusambaza taarifa za uongo kupitia WhatsApp na Facebook kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini, Jenerali Davis Mwamunyange amelishwa sumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Kortini kwa kuingia nyumbani kwa Mzee Mwinyi
NA MANENO SELANYIKA, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Ilala Mtaa wa Lindi, Hafidhi Ally (23), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kuvamia kisha kuingia nyumbani kwa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mbele ya Hakimu Ester Kihiyo, karani wa mahakama hiyo, Mosses Mchome, alidai kwamba mtuhumiwa alifanya kosa hilo Desemba 10, mwaka huu saa 7:30 usiku nyumbani kwa Mzee Mwinyi, Mikocheni B, Dar es Salaam.
Karani Mchome aliiambia mahakama hiyo kwamba, Hafidhi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s72-c/Sisti-10June2015.jpg)
150 KORTINI KWA KUJIANDIKISHA MARA MBILI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA KWA MFUMO MPYA BVR
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s400/Sisti-10June2015.jpg)
Aidha, imeeleza kuwa kata 130 zimeongezeka kutokana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufanya mabadiliko ya kiutawala katika kata, vijiji,vitongoji na Mitaa hivyo kulazimu NEC kuhairisha kwa wiki moja uandikishaji wa daftari uliokuwa ukianza jana kwa baadhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b26CKmVYHQM/XlVC1i0p7aI/AAAAAAALfY4/Z8_AEVT5SWcan4tP5SGAVzYPhCU9a6qkwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B16.32.52.jpeg)
RAIA WAWILI WA CHINA WAFIKISHWA KORTINI KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA YA MILIONI 11.5 KWA KAMISHNA MKUU WA TRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b26CKmVYHQM/XlVC1i0p7aI/AAAAAAALfY4/Z8_AEVT5SWcan4tP5SGAVzYPhCU9a6qkwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B16.32.52.jpeg)
RAIA wa wawili wa China wanaoishi Mkoa Iringa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shitaka la kutoa rushwa ya Sh. Milioni 11.5 kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Dk. Edwin Mhede.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU ) Mwakatobe Mshana imewataja washtakiwa hao kuwa ni Heng Rongnan (50) na Ou Ya (47) wote wakazi wa Kinyambo ...
10 years ago
Bongo Movies31 Mar
Team Wema Wakerwa na Tabia ya Watu Kumzushia Wema
Baada ya Picha za staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na mshindi wa Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye moja ya supermarket hapa jijini Dar kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya moto wa vifuu huku kila mtu akiandika lake kuhusiana na kile alichokiaona, Team Wema waneoneshwa kukerwa na tabia za watu kumzushia Wema kwenye mahusiano.
Licha ya ukweli ni kwamba Wema na Idris wanaonekana kikazi zaidi, yaani ulikuwa ni wito maarumu kutoka kwa...
10 years ago
Bongo Movies30 Mar
Team Wema Wakwera na Tabia ya Watu Kumzushia Wema
Baada ya Picha za staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na mshindi wa Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye moja ya supermarket hapa jijini Dar kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya moto wa vifuu huku kila mtu akiandika lake kuhusiana na kile alichokiaona, Team Wema waneoneshwa kukerwa na tabia za watu kumzushia Wema kwenye mahusiano.
Licha ya ukweli ni kwamba Wema na Idris wanaonekana kikazi zaidi, yaani ulikuwa ni wito maarumu kutoka kwa...
10 years ago
Bongo Movies31 Mar
Team Wema Wakwerwa na Tabia ya Watu Kumzushia Wema
Baada ya Picha za staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na mshindi wa Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye moja ya supermarket hapa jijini Dar kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya moto wa vifuu huku kila mtu akiandika lake kuhusiana na kile alichokiaona, Team Wema waneoneshwa kukerwa na tabia za watu kumzushia Wema kwenye mahusiano.
Licha ya ukweli ni kwamba Wema na Idris wanaonekana kikazi zaidi, yaani ulikuwa ni wito maarumu kutoka kwa...
11 years ago
Habarileo18 Jul
17 kortini kwa ugaidi
WATU 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi.
11 years ago
Mwananchi25 Dec
‘Mwamunyange, Mwema wajiuzulu’
11 years ago
Mwananchi03 Aug
UHALIFU: 19 kortini kwa ugaidi