Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mwamunyange, Mwema wajiuzulu’

Mkuu wa Majeshi Nchini, Davis Mwamunyange na Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Said Mwema nao wametakiwa kujiuzulu kutokana na uozo uliobainika katika ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili, iliyosababisha Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri wake wanne.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema, Mwamunyange watakiwa kujiuzulu

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Saidi Mwema, na Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Davis Mamunyange, wametakiwa kujiuzulu baada ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema, Mwamunyange mikononi mwa Kikwete

WAKATI shinikizo la kumtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kujiuzulu ama awajibishwe kutokana na kashfa ya ukatili mauaji dhidi ya wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili likizidi kushika kasi, vumbi jipya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri 7 wajiuzulu Nigeria

Mawaziri saba wa serikali nchini Nigeria wamejiuzulu nyadhifa zao katika serikali ya Rais Goodluck Jonathan.

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani wajiuzulu Shinyanga

Mwenyekiti wa taifa wa Chadema, Freeman MboweMTAJI wa viongozi wa Chadema mikoani umeendelea kuporomoka kutokana na mgogoro wa uongozi unaoendelea katika chama hicho, kuanza kukumba viongozi wa kuchaguliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Makatibu, wajumbe wajiuzulu Chadema

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani hapa, kimepata pigo baada ya makatibu wawili na wajumbe tisa wa kamati ya utendaji, kujiuzulu na kujiunga na Alliance for Change and Transparence (ACT-Tanzania).

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa upinzani wajiuzulu Uingereza

Kiongozi wa chama cha Leba nchini Uingereza Ed Miliband amewaambia wanaharakati wa chama hicho kwamba anajiuzulu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo CHADEMA Kigoma wajiuzulu

VIONGOZI watatu wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Kigoma, wamejiuzulu nafasi na uanachama wao kwa madai ya ubabe wa viongozi wa chama hicho kitaifa. Waliojiuzulu ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Kanisa lawataka wachungaji wajiuzulu Chadema

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini ambaye pia ni Mchungaji wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT), Joseph Matare amejiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kanisa lake kuwataka wachungaji wake ambao ni viongozi wa vyama vya siasa kuachana na nafasi zao za kisiasa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Komba: Mawaziri wizara ya mifugo wajiuzulu

MBUNGE wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba (CCM), amewataka Waziri na Naibu Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, kujiuzulu kwa kushindwa kusimamia wizara hiyo. Komba alitoa kauli hiyo bungeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani