‘Mwamunyange, Mwema wajiuzulu’
Mkuu wa Majeshi Nchini, Davis Mwamunyange na Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Said Mwema nao wametakiwa kujiuzulu kutokana na uozo uliobainika katika ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili, iliyosababisha Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri wake wanne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Mwema, Mwamunyange watakiwa kujiuzulu
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Saidi Mwema, na Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Davis Mamunyange, wametakiwa kujiuzulu baada ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Mwema, Mwamunyange mikononi mwa Kikwete
WAKATI shinikizo la kumtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kujiuzulu ama awajibishwe kutokana na kashfa ya ukatili mauaji dhidi ya wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili likizidi kushika kasi, vumbi jipya...
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Mawaziri 7 wajiuzulu Nigeria
11 years ago
Habarileo26 Feb
Madiwani wajiuzulu Shinyanga
MTAJI wa viongozi wa Chadema mikoani umeendelea kuporomoka kutokana na mgogoro wa uongozi unaoendelea katika chama hicho, kuanza kukumba viongozi wa kuchaguliwa.
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Makatibu, wajumbe wajiuzulu Chadema
10 years ago
BBCSwahili08 May
Viongozi wa upinzani wajiuzulu Uingereza
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Vigogo CHADEMA Kigoma wajiuzulu
VIONGOZI watatu wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Kigoma, wamejiuzulu nafasi na uanachama wao kwa madai ya ubabe wa viongozi wa chama hicho kitaifa. Waliojiuzulu ni...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kanisa lawataka wachungaji wajiuzulu Chadema
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Komba: Mawaziri wizara ya mifugo wajiuzulu
MBUNGE wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba (CCM), amewataka Waziri na Naibu Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, kujiuzulu kwa kushindwa kusimamia wizara hiyo. Komba alitoa kauli hiyo bungeni...