Viongozi wa upinzani wajiuzulu Uingereza
Kiongozi wa chama cha Leba nchini Uingereza Ed Miliband amewaambia wanaharakati wa chama hicho kwamba anajiuzulu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV08 May
Baada ya kushindwa, Viongozi wa upinzani wajiuzulu Uingereza.
Kiongozi wa chama cha Leba nchini Uingereza Ed Miliband amewaambia wanaharakati wa chama hicho kwamba anajiuzulu kama kiongozi wa chama hicho kufuatia matokeo duni ya uchaguzi mkuu.
Miliband ambaye amempongeza Waziri mkuu David Cameron kwa kuchaguliwa kwa awamu ya pili amesema kuwa anachukua jukumu la kushindwa kwa chama chake katika uchaguzi huo.
Chama cha leba kilishindwa vibaya katika uchaguzi huo.
Katika hotuba aliyotoa mjini London,Miliband alisema kuwa ni wakati mtu mwengine anafaa...
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Hali tete Bunda, viongozi Chadema wajiuzulu
Na Raphael Okello, Bunda
SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Esther Bulaya kuteuliwa na chama hicho na kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo, hali ndani ya chama hicho wilayani Bunda imekuwa tete.
Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa aliyekuwa mpinzani wa Bulaya katika kura za maoni ndani ya chama hicho, Pius Masururi, kujitoa katika chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Tayari Masururi ametangaza...
9 years ago
StarTV22 Aug
Robo tatu ya viongozi kamati tendaji ya Chadema Bunda wajiuzulu nyadhifa zao
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Bunda kimepata mpasuko mkubwa kutokana na karibu robo tatu ya viongozi wake kujiuzulu nafasi zao akiwemo katibu mwenezi wa CHADEMA jimbo la Bunda Emmanuel Malibwa, mwenyekiti wa jimbo hilo Samwel Alfred na katibu wa CHADEMA Wilaya Rita Itandilo.
Baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho wamesema hivi sasa watamuunga mkono mgombea wa CCM katika jimbo la Bunda Stephen Wassira kwa sababu viongozi wao wamejichanganya kwa kuwafanyia maamuzi...
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Upinzani Uingereza wana kiongozi mpya
9 years ago
BBCSwahili22 Nov
Viongozi 2 wa upinzani wanyongwa Bangladesh
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Viongozi wa upinzani Uganda waachiliwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yG4E1Er0Fo8/Xkp5QWBYyuI/AAAAAAALdsI/8VH6G14L2V4GxaOqQYrN7O5gZUsMiQAeQCLcBGAsYHQ/s72-c/ef64b131-15db-4664-b570-ef822c52e9a5.jpg)
INNOCENT KALOGERIS :VIONGOZI WA UPINZANI ACHENI KUICHAFUA NCHI KIMATAIFA RUDI NYUMBANI TUZUNGUMZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-yG4E1Er0Fo8/Xkp5QWBYyuI/AAAAAAALdsI/8VH6G14L2V4GxaOqQYrN7O5gZUsMiQAeQCLcBGAsYHQ/s640/ef64b131-15db-4664-b570-ef822c52e9a5.jpg)
Ameyasema Hayo wakati wa Hafla ya kuwapokea na kuwakabidhi Kadi rasmi madiwani wawili na wanachama Kadhaa wa Upinzani walioamua kurudi CCM wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu CCM Taifa Dr Bashiru Ally akiwa Morogoro Vijijini hafla imefanyika Ofisi za CCM Mkoa wa Morogoro Mtaa wa Saba...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Katibu CCM Ikungi awajia juu viongozi wa Upinzani, awataka kuzingatia misingi ya utawala
![DSC04869](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC04869.jpg)
![DSC04849](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC04849.jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Haya ndio majibu ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani kwenye Mdahalo kuhusu Changamoto za TZ.. (Audio & Pichaz)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_4749.jpg?resize=620%2C413)
Kutokana na sababu mbalimbali Wagombea wengi hawakujitokeza, Mgombea mmoja Balozi Amina Salum Ali ndio Mgombea pekee aliejitokeza kwenye mdahalo huo.
June 18 2015 ilikuwa zamu ya Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Upinzani kukutana pale Hyatt Regency Hotel kwenye Mdahalo huo na kujadili ishu mbalimbali zinazoihusu...