Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hutobashiri staa aliyempa Mwana FA idea ya chorus ya ‘Asanteni kwa Kuja’

12298952_951039554970796_1769017982_n

Mwana FA amemtaja mtu aliyemsaidia kumpa idea ya chorus ya wimbo wake mpya ‘Asanteni kwa Kuja.’

12277548_1032344053484486_847392172_n
Mwana FA akiwa na P-Funk Majani na Hermy B

Mtu huyo si mwingine bali ni P-Funk Majani. “Mimi nilikuwa na jina la wimbo,” FA ameiambia Bongo5.

“Nikaenda na sampling mpaka kwa Hermy, tumekaa nje kwa Sallam meneja wa Diamond, Hermy akatengeneza beat, jamaa wanacheza ile foosball na akina Ambwene, tumekaa mimi na Hermy akatengeneza beat hapo hapo nje. Kwahiyo mimi nikawa nayo, jina la wimbo ninalo na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hermy B na Pancho kumleta Mwana FA na ‘Asanteni Kwa Kuja’

12298952_951039554970796_1769017982_n

Mwana FA na Hermy B wakikutana hawajawahi kumiss zaidi ya kuhit!

12298952_951039554970796_1769017982_n

Uzikumbuka ‘Habari Ndio Hiyo’, ‘Bado Nipo Nipo’, ‘Naongea Na Wewe’, ‘Msiache Kuongea’ , ‘Naona Nazeeka Sasa’ na ‘Nangoja Ageuke?’ Hizi zote zilipigwa nwa Hermy B kwenye studio za B’Hits na sasa wawili hao wanakuletea ‘Asanteni Kwa Kuja.’

FA ambaye amekuwa kimya tangu aachie ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba, anavunja ukimya kwa ngoma hiyo yenye kila dalili za kuja kuwa gumzo kama zilivyo ngoma zake nyingi.

Hermy B...

 

9 years ago

MillardAyo

Mabibi na mabwana… imeletwa kwenu video mpya ya MwanaFA ‘asanteni kwa kuja’

Audio iliachiwa toka December 2015 ila leo kazi ni kwetu kuitazama video…. imefanyika Afrika Kusini, ndiyo hii hapa chini unaweza kuitazama kisha tuachie comment yako FA akipita ajue watu wake wamemuandikia nini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]

The post Mabibi na mabwana… imeletwa kwenu video mpya ya MwanaFA ‘asanteni kwa kuja’ appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Mwana FA – Asanteni kwa Kuja

12298952_951039554970796_1769017982_n

Hii ni ngoma mpya ya Mwana FA ‘Asanteni kwa Kuja’ iliyotayarishwa na Hermy B.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Mwana FA – Asanteni Kwa Kuja

fa asanteni

Foleni kubwa ya wasanii kuachia video zao mwisho wa mwaka jana 2015, yaweza kuwa sababu iliyomfanya Mwana FA aishikilie video yake kwa muda hadi baada ya mwaka mpya licha ya kukamilika mapema.

fa asanteni

‘Asanteni kwa kuja’ ni wimbo mpya wa rapper Mwana FA aka Binamu alioutoa mwishoni mwa mwaka jana na kwenda Afrika Kusini kushoot video yake.

Sasa the wait is over, na tayari Binamu ameachia video hiyo iliyoongozwa na Alessio Bettocchi wa kampuni ya Studio Space Pictures ya Afrika Kusini. Itazame...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: MWANA FA - ASANTENI KWA KUJA (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Africanjam.Com

GET READY FOR THE GOOD MUSIC: MWANA FA - ASANTENI KWA KUJA (Coming Soon)


Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi

Ikiwa ni zaidi ya wiki moja toka mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta itangazwa kauwawa kwa risasi, December 28 mitandao mingi ya Ulaya imeripoti kifo cha staa mwingine wa soka aliyeuwawa kwa kupigwa risasi. December 27 aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco ameuawa kwa kupigwa na risasi wakati akiwa […]

The post Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi appeared first on...

 

10 years ago

GPL

JOKATE: MAPENZI YA STAA KWA STAA MBONA POA TU!

Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Saphyna Mlawa, Dar es Salaam
ANAJULIKANA kwa jina la Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, alianza kupata umaarufu kupitia fani ya urembo lakini kwa sasa sauti yake kusikika kwenye Bongo Fleva na kazi zake za urembo ndizo zinamfanya asomeke kwenye vyombo vya habari. Mwanamuziki Ali Kiba. Jokate ambaye alitumia alama iliyopo kwenye uso wake kujipa jina la utani la Kidoti, amezungumza na...

 

10 years ago

Habarileo

Asanteni Watanzania kwa upendo wenu

RAIS Jakaya Kikwete juzi alikutana na kufanya mazungumzo na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohammed Chande Othman na ujumbe wake ambao uko nchini Marekani kikazi. Aidha, Rais Kikwete amewashukuru Watanzania kwa maelfu ya salamu za upendo kwake zikimtakia heri aweze kupona, ambazo Rais amekuwa anapokea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani