Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtu wa nguvu na watu wangu wa chuo Jana Dec 19 #TIGOuniversityVIP

Tigo imekua ikitoa nafasi za watu wa nguvu kwenye vyuo vya UDSM, IFM, CBE- DAR, Utumishi Mtwara na Mzumbe Morogoro kuenjoy weekend zao na marafiki baada ya kushinda kwenye droo ambayo inachezeshwa kutokana na Wanachuo wanaosogelea gulio la Tigo chuoni kwake na kufanya chochote kinachopatikana. Sasa usiku wa Dec 19 2015 washindi watatu kutoka kwenye […]

The post Mtu wa nguvu na watu wangu wa chuo Jana Dec 19 #TIGOuniversityVIP appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LUNGI: MTU AMSHOBOKEE BWANA WANGU AONE

STORI: HAMIDA HASSAN
Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Mwaulanga amesema mwanaume aliyezaa naye (jina ni siri yake) anampenda sana na mwanamke asiyejipenda amshobokee aone kitakachompata. Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Mwaulanga. Akipiga stori na Ijumaa Lungi amesema anajua kuwa wapo wanawake ambao wakiamua kutembea na waume za watu hawashindwi lakini akasema, kwa bwana wake aliyezaa naye akigundua kuna anayemnyemelea,...

 

10 years ago

Vijimambo

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2


Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.

Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...

 

10 years ago

GPL

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA?

Ni Jumanne tena! Wapenzi wasomaji wa safu hii ya mapenzi na maisha, nawakaribisha leo kwa ajili ya mada nyingine ambayo ni motomoto kama ilivyo kawaida yangu. Baada ya wiki iliyopita kumalizana na mada ya kosea kuchagua kila kitu lakini siyo mwenza. Wiki hii tuna mada hii ya Mimi Mtu Wangu Mzungu. Nimekuwa nikiwasikia watu mbalimbali, wake kwa waume wakilitumia hili neno (Mzungu) japokuwa kwa upande wa wenzetu wanawake ndiyo...

 

10 years ago

GPL

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2

Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza. Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 4 wameuawa usiku wa jana Bujumbura

Polisi wamesema watu wanne wameuawa usiku wa jana katika mashambulio yaliyotokea maeneo tofauti ya mji mkuu wa Bujumbura Burundi

 

11 years ago

GPL

WAJUE WATU 10 WENYE NGUVU TANZANIA

KWA muda wa miezi miwili , magazeti ya Global Publishers Ltd yaliendesha zoezi la kuwashirikisha wasomaji wake juu ya mtu gani mwenye nguvu zaidi ya ushawishi katika jamii ya Watanzania. Rais Jakaya Kikwete. Jumla ya Watanzania 438,726 walipiga kura kupendekeza majina mbalimbali. Watu 10 waling’ara zaidi kwa kugawana jumla ya kura asilimia 97.4, huku wengine ambao hawakuweza kuchomoza wakiambulia mgawo wa asilimia 2.6.
...

 

10 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah: Wimbo nitakaofungia mwaka ndio wimbo wangu wa kwanza mtu akisikiliza analia

Kala Jeremiah amesema anatarajia kuachia wimbo mpya wa kufungia mwaka kabla mwezi huu haujaisha. “Mwezi wa 11 hautaisha Kala Jeremiah atadrop kitu ambacho naamini kabisa kila Mtanzania kitamgusa..kwa namna moja au nyingine kila mmoja unamhusu huu wimbo kwahiyo sitaki sana akuongelea sasa hivi “ Amesema Kala kupitia Power Jams ya EA Radio. Akiuzungumzia wimbo huo, […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani

Jarida la Forbes limetoa orodha ya watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani, huku Rais wa Marekani Barack Obama akiondolewa kutoka nafasi ya pili.

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA

Basi la abiria la Luhuye Express lenye namba za usajili T 410 AWQ baada ya kuacha njia na kugonga nyumba katika Kijiji cha Yitwimila 'A', wilayani Busega, Mkoa wa Simiyu jana asubuhi. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo iliyoua watu zaidi ya 10 na kujeruhi 30.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani