Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la lenye mvuto wa aina yake, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa.
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies16 Jan
Hapa na Pale:Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la lenye mvuto wa aina yake, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa.
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DdzS2kvR6iYzlJYL1MEtcrHsxeuJh3RZ5h*Js1ba4mN1U6f44ZeqwFJ0RfODszavwBRz3QiS5mAcXDsalBGsrhB/Amanda.jpg)
AMANDA AGOMA KUMUANIKA BWANA KISA KUIBIWA
10 years ago
CloudsFM12 Nov
NAY WA MITEGO: SITAKI WATOTO WANGU WAFANYE MUZIKI
Staa wa Bongo Flava ambaye ana tuzo ya wimbo bora wa Hip hop, Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake wawe wanamuziki kama yeye. ‘’Mimi ni mwanamuziki na nimepata mafanikio kupitia kazi hii lakini sitaki watoto wangu wawe wanamuziki’’,alisema Nay Wa Mitego.
10 years ago
Bongo Movies28 Mar
Picha: ‘Na Mwanangu Bila Kumsahau Mkwe Wangu.. Sitaki Maswali”-JB
Hii ni moja kai ya picha iliyofagiliwa na wengi wiki hii huko Instagram, inajumuisha mstaa wakali kutoka Bongo Movies, JB, Ray na Wema Sepetu.
Mbali na wengi kubonyeza kitufe ya kupenda na kutupia maneno kwenye picha hii, alichokiandika JB mara baada ya kubandika picha hii ndicho kilicho changamsha genege.
JB aliandiaka;
‘Na mwanangu bila kumsahau mkwe wangu.. Sitaki maswali”
Mimi hapa nikajiongeza, hapa nazungumziwa Wema lakini ni utani tu, wewe je?.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK4OmpjP-Si3cQpMuPzNIdGJk0lVXQ66E-DnE3YMCAm1ZHf*XOyIzFp0wWxWbfK7*vfMt7XTV6c5Vrq8HYzM5BLh/LUUUUUUUUU.jpg)
LUNGI: MTU AMSHOBOKEE BWANA WANGU AONE
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Lady Jaydee: Ni wakati wangu sasa
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Ni wakati wangu sasa kupaa kimataifa
10 years ago
Vijimambo31 Mar
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
![](http://api.ning.com/files/Z-JJSpQIZ6-DdIqG6stPddxLftfvovrSXvrUmlemlKwxmMLIXVlKVOI09Pla36hRBdm7VGfli*TvZac4cdmOUKUrpwp62Gx3/blackwomanwithwhitemanpf.jpg?width=650)
Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...
10 years ago
Bongo505 Jan
DeeAndy: Uhusiano wangu na Godzilla una miaka 2 sasa