Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni wakati wangu sasa kupaa kimataifa

Kati ya wimbo aliouimba kwa ustadi mkubwa na ambao mashairi yake yalipambwa kwa Kiswahili fasaha ni”Nelson, Nelson Madela, mzee Madiba baba yetu…

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lady Jaydee: Ni wakati wangu sasa

Baada ya tetesi kuwa ameachana na mumewe, mwanamuziki Judith Wambura maarufu Lady Jaydee amesema leo anajitokeza kwa mara ya kwanza mbele ya mashabiki wake kwani wakati wa kufanya hivyo umewadia.

 

9 years ago

Mtanzania

KAMBI KUPAA KIMATAIFA

kambiNA JOSEPH SHALUWA

MKONGWE kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Hashim Kambi amesema anamshukuru Mungu kwa kumaliza na kuuona Mwaka Mpya akiwa nchini Mare­kani huku akiahidi kuzidi kutusua kimataifa mwaka huu.

Akizungumza na Swaggaz kwa njia ya simu kutokea Wash­ington DC, Marekani, Kambi amesema yupo katika hatua za mwisho kukamilisha sinema mpya anayorekodi nchini humo akiwa na mwigizaji mwenzake, Charles Magali.

“Tunaendelea na kurekodi huku Marekani, kazi ni nzuri sana na naamini itazidi...

 

10 years ago

GPL

ROKETI YALIPUKA WAKATI WA KUPAA NCHINI MAREKANI

Roketi Antares ikilipuka. Taswira baada ya mlipuko huo.…

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA BAADA YA KUZIPIGA KIBAJAJA MBEYA CITY NA PRISON SASA KUPAA KWENDA BOTSWANA JUMATANO HII.

YANGA wameendelea kujikita kileleni mwa ligi kuu soka Tanzania bara kufuatia kuichapa Mbeya City fc mabao 3-1  na Prison 3-0 katika mechi za ligi kuu zilizopigwa huko Mbeya Yanga imezoa point 6 na magoli 6 kwenye uwanja huo baada ya kuzipiga Prison na Mbeya City Kibajaja kila mmoja jumatano hii Yanga kupaa kwenda Botswana wakiwa na matumaini makubwa ya kushinda kwenye mchezo huo utakaopigwa Ijumaa hii huko Botswana na timu ya BDF XI.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni wakati wangu shoo za jukwaani

Mwimbaji wa muziki aina ya Zouk nchini Mwasiti Almas amesema kuanzia sasa ataanza kuonekana tena katika shoo za jukwaani, baada ya kukaa pembeni kwa kipindi cha mwaka mmoja.

 

9 years ago

Vijimambo

MWIGULU AVUNA KURA ZA MKOA WOTE WA TABORA KWENDA CCM,SASA KUPAA KUELEKEA MKOA MWINGINE HAPO KESHO

Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi katika moja ya Majimbo mkoa wa Tabora hii leo wakati wa ziara yake ya kuzunguka Mkoa wa Tabora wote kwaajili ya kuinadi Ilani ya Chama cha Mapinduzi na Kuwaombea Kura Madiwani,Wabunge na Rais mtarajiwa wa Chama cha Mapinduzi.Mwigulu Nchemba katika harakazi za kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo kwa Mkoa wa Tabora na Nchi nzima hii leo akiwa Tabora Jimbo la Igunga.Chagua Almasi Maige kwa Maendeleo ya Tabora Kaskazini.Mjumbe wa timu ya Ushindi ya CCM...

 

9 years ago

Vijimambo

MCHANGO WANGU WA MAWAZO KWA WA TANZANIA WAKATI HUU WA UCHAGUZI WA 2015.

Kwa viongozi wa ngazi zote, kwa wanasiasa, waumini au washilika wa madhehebu mbali mbali, wafanyakazi wa ngazi zote,wakulima,wafanyavyashala,wanafunzi,watu wa lika zote,wagombea viti mbali mbali n.k. Ndugu na lafiki zangu wa Tanzania, mimi naitwa CHARLES M.KAROLI wa Canada.Kama mtu ambaye niliwahi kuishi Tanzania kama mkimbizi zaidi ya myaka 15 na kukaa katika kambi tofauti mikoani ya Kigoma na Kagera na kutembea ktk mikoa mbali mbali pamoja na kujifunza mambo mengi kwa wa Tanzania ndugu na...

 

10 years ago

Vijimambo

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2


Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.

Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...

 

10 years ago

Bongo5

DeeAndy: Uhusiano wangu na Godzilla una miaka 2 sasa

Hawakuwahi kusema hadharani kuhusu uhusiano wao wa kimapenzi, lakini wengi walikuwa wakiona ukaribu wa kimahaba uliopo kati ya rapper wa ‘Sala Sala’ Godzilla na mtangazaji wa Clouds FM, DeeAndy. Mtangazaji huyo wa 255 ambayo ni sehemu ya kipindi cha XXL, amelazimika kuthibitisha uhusiano wake na rapper huyo anayesherehekea siku yake ya kuzaliwa Jumatatu hii baada […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani