Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMBI KUPAA KIMATAIFA

kambiNA JOSEPH SHALUWA

MKONGWE kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Hashim Kambi amesema anamshukuru Mungu kwa kumaliza na kuuona Mwaka Mpya akiwa nchini Mare­kani huku akiahidi kuzidi kutusua kimataifa mwaka huu.

Akizungumza na Swaggaz kwa njia ya simu kutokea Wash­ington DC, Marekani, Kambi amesema yupo katika hatua za mwisho kukamilisha sinema mpya anayorekodi nchini humo akiwa na mwigizaji mwenzake, Charles Magali.

“Tunaendelea na kurekodi huku Marekani, kazi ni nzuri sana na naamini itazidi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ni wakati wangu sasa kupaa kimataifa

Kati ya wimbo aliouimba kwa ustadi mkubwa na ambao mashairi yake yalipambwa kwa Kiswahili fasaha ni”Nelson, Nelson Madela, mzee Madiba baba yetu…

 

9 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya kimataifa yaombwa kusaidia huduma kambi ya Nyarugusu

IMG_6503

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kulia) na ujumbe wake aliombatana nao Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini, Dkt. Natalia Kanem (wa pili kushoto) pamoja na Ofisa wa Mambo ya Nje kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Maulidah Hassan (kushoto) kabla ya kuelekea kambi ya Nyarugusu walipita...

 

11 years ago

Michuzi

Prof. Gabriel afunga Kambi ya Kimataifa ya Vijana ijulikanayo kama International Youth Fellowship jijini dar

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akitoa hotuba wakati wa kufunga Kambi ya Kimataifa ya Vijana International Youth Fellowship (IYF) katika Ukumbi wa Milimani City leo Jijini Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia) akipokea tuzo kwa niaba ya Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kama waziri mwenye dhamana ya kusimamia masuala ya Vijana kutoka kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Azam kupaa kileleni

AZAM kukaa kileleni leo?

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siri ya TBL kupaa kimapato

PAMOJA na kuwepo na ushindani mkubwa wa bidhaa za bia hapa nchini na ukanda wote wa Africa, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), imeendelea kufanya vizuri nchini na kupata ongezeko la...

 

10 years ago

Mwananchi

Bei ya Petroli yazidi kupaa

Dar es Salaam. Bei ya petroli imeendelea kushika kasi ya kupanda tangu ilipopungua kwa kiasi kikubwa mwezi Februari baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) kutangaza ongezeko la Sh111 wakati dizeli ikipanda kwa Sh23.

 

11 years ago

Mwananchi

Deni la taifa lazidi kupaa

Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD), umebaini ongezeko la madeni ya ndani, ambayo sasa yamefikia Sh6.8 trilioni na kusababisha athari kubwa kwa jamii.

 

9 years ago

Mwananchi

Bei ya nyama yazidi kupaa

Bei ya nyama ya ng’ombe mkoani hapa imepanda kutoka Sh5,000 hadi 6,000, kutokana na mifugo kuadimika kwenye minada.

 

11 years ago

Mwananchi

Ruvuma wazidi kupaa kwa kilimo

Mkoa wa Ruvuma umepata mafanikio makubwa katika sekta ya kilimo katika msimu wa 2012/13.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani