Bei ya nyama yazidi kupaa
Bei ya nyama ya ng’ombe mkoani hapa imepanda kutoka Sh5,000 hadi 6,000, kutokana na mifugo kuadimika kwenye minada.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 May
Bei ya Petroli yazidi kupaa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D8a-J1twX8o/VSaQKZSELvI/AAAAAAAHP2Q/7fFU6hH6fwE/s72-c/1.jpg)
DCB YAZIDI KUPAA KWA KUINUA WAJASIRIAMALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-D8a-J1twX8o/VSaQKZSELvI/AAAAAAAHP2Q/7fFU6hH6fwE/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-A-q4w_O5Vyc/VSaQL0iXS3I/AAAAAAAHP2Y/FYgQTSeITm4/s1600/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Bei ya nyama Dodoma, Dar yapanda
9 years ago
Mtanzania06 Jan
Bei ya Petroli yazidi kushuka
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa, ikilinganishwa na bei ya mwaka jana.
Taarifa iliyotolewa na EWURA jana na kusainiwa na Mkurugenzi Mkuu wake, Felix Ngamlagosi, ilieleza kuwa bei hiyo elekezi itaanza kutumika kuanzia leo Januari 6.
Ngamlagosi alitaja sababu mojawapo ya kupungua kwa bei za mafuta ni kushuka kwa bei za mafuta katika soko la dunia, pamoja na...
10 years ago
Habarileo04 Feb
Mafuta yazidi kushuka bei
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka zaidi kwa bei za bidhaa za mafuta hapa nchini kuanzia leo, kutokana na bei katika soko la dunia kuendelea kuporomoka.
5 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA WAASWA KUTOPANDISHA BEI YA NYAMA MSIMU HUU WA SIKUKUU
Akizungumza jana Mei 18,2020 jijini Dar es Salaam, Naibu Waziri Mhe.Ulega amemtaka pia Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Bw. Jumanne Shauri ndani ya siku saba kuhakikisha wanawapeleka wafanyabiashara wanaofanya biashara katika machinjio ya vingunguti kujionea eneo jipya...
10 years ago
Vijimambo07 Jan
Mafuta yazidi kushuka bei nchini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2581006/highRes/916048/-/maxw/600/-/285n5k/-/bei.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pA-lQqd-nRQ/Xrr4cfzSb-I/AAAAAAALp-g/rPuNjYMdCmU15EQ3_D5_gFCdbJeAt8yzACLcBGAsYHQ/s72-c/8d0703c6-698b-4ef3-bf3f-4956c4121950.jpg)
KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...