Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHANGO WANGU WA MAWAZO KWA WA TANZANIA WAKATI HUU WA UCHAGUZI WA 2015.

Kwa viongozi wa ngazi zote, kwa wanasiasa, waumini au washilika wa madhehebu mbali mbali, wafanyakazi wa ngazi zote,wakulima,wafanyavyashala,wanafunzi,watu wa lika zote,wagombea viti mbali mbali n.k. Ndugu na lafiki zangu wa Tanzania, mimi naitwa CHARLES M.KAROLI wa Canada.Kama mtu ambaye niliwahi kuishi Tanzania kama mkimbizi zaidi ya myaka 15 na kukaa katika kambi tofauti mikoani ya Kigoma na Kagera na kutembea ktk mikoa mbali mbali pamoja na kujifunza mambo mengi kwa wa Tanzania ndugu na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015

The post Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015 appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

Michuzi

BrighterMonday Tanzania yaja na suluhisho kwa waajiri wakati huu wa mlipuko wa corona


Mlipuko wa homa kali ya mapafu, COVID-19 au Virus via Corona, umeleta athari katika nyanja mbalimbali za kiuchumi kote duniani, ikiwemo sekta ya ajira. Baadhi ya makampuni yamelazimika kupunguza idadi ya waajiriwa, mengine yakilazimika kufunga biashara na uzalishaji, huku mengine yakisaidia juhudi za seriali na hata sekta binafsi kukabiliana na matokeo ya mlipuko wa virusi vya Corona ili kusaidia kurudisha mataifa katika kawaida ya uzalishaji.
Hapa Tanzania, makampuni Mengi yamechangia...

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!

Rapper Mabeste ameshare kile alichoita “ukweli wa kuuguwa kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!” Mabeste akiwa na mke wake Lisa na mtoto wao Kendrick Hivi karibuni rapper huyo alielezea kwa kirefu jinsi mke wake Lisa Karl Fickenscher alivyougua kwa muda mrefu mara baada ya kujifungua mtoto wao Kendrick, kiasi cha kufikiri […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi:Mchango wa vibonzo Tanzania

Vibonzo hupasha habari kwa urahisi kwa namna yenye kuvutia

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015 KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 11 Septemba, 2015 kuhusu vipindi vinavyorushwa moja kwa moja wakati wa kampeni za uchaguzi
mkuu.  Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mchango wa vibonzo katika uchaguzi Tanzania

Vibonzo vimekuwa chachu kubwa sana katika upashaji habari haswa wakati huu wa uchaguzi nchini Tanzania.

 

9 years ago

Vijimambo

UJUMBE WANGU KWA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KATIKA KUELEKEA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU OCTOBER 25

Lucy Patrick
Kalamu yangu mdomo wangu leo nataka nizungumze na wanahabari wenzangu waandishi na wataangazaji pia nataka mjue kwambaa karama hii au kipaji hiki tumepewa sio kwamba sisi tulistahili sana kuliko wengine hapana  ni kwamba tuliaminiwa kwamba tunaweza kutumia midomo yetu na kalamu zetu katika kusema na kuandika ukweli ili tuweze kuelimisha,kutoa habari na hata kuburudisha ikiwezeekana naomba niwashauri tutumie karama zetu vizuri tuache ushabiki ambao hautakuwa na manufaa yeyote kwa...

 

9 years ago

Michuzi

TASAF YAWAHIMIZA WAANIDISHI WA HABARI KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA YAO HASA WAKATI HUU WA UCHAGUZI.

 Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bwana Ladislaus Mwamanga amewahimiza waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kuzingatia maadili ya taaluma hiyo hasa wakati huu ambapo taifa linaingia katika hatua muhimu ya kuchagua viongozi katika uchaguzi mkuu.
Mwamanga ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ufungaji wa kongamano hilo amewasihi waandishi wa habari kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia misingi ya taaluma yao ili kuepukana upotoshaji na kuitia nchi katika mgogoro usiokuwa wa lazima. Amesema taaluma...

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO: Lowassa ni mfamaji au mpambanaji asiyechoka?

Nimejitahidi nilivyoweza kutoandika chochote juu ya Edward Lowassa. Nilikuwa na sababu kadhaa ambazo siyo lazima kuziandika kwenye makala haya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani