Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchango wa vibonzo katika uchaguzi Tanzania

Vibonzo vimekuwa chachu kubwa sana katika upashaji habari haswa wakati huu wa uchaguzi nchini Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi:Mchango wa vibonzo Tanzania

Vibonzo hupasha habari kwa urahisi kwa namna yenye kuvutia

 

9 years ago

Vijimambo

MCHANGO WANGU WA MAWAZO KWA WA TANZANIA WAKATI HUU WA UCHAGUZI WA 2015.

Kwa viongozi wa ngazi zote, kwa wanasiasa, waumini au washilika wa madhehebu mbali mbali, wafanyakazi wa ngazi zote,wakulima,wafanyavyashala,wanafunzi,watu wa lika zote,wagombea viti mbali mbali n.k. Ndugu na lafiki zangu wa Tanzania, mimi naitwa CHARLES M.KAROLI wa Canada.Kama mtu ambaye niliwahi kuishi Tanzania kama mkimbizi zaidi ya myaka 15 na kukaa katika kambi tofauti mikoani ya Kigoma na Kagera na kutembea ktk mikoa mbali mbali pamoja na kujifunza mambo mengi kwa wa Tanzania ndugu na...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA TANZANIA YAITUNUKU HUAWEI TUZO YA UONGOZI BORA NA MCHANGO MKUBWA KATIKA SEKTA YA TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO

Mkuu wa masuala ya ufumbuzi na ushauri wa Huawei Afrika mashariki na kusini Dr. Bello Moussa, akizungumza wakati wa mkutano wa siku mbili wa kimataifa ulipewa jina la Connect to Connect (C2C) ulioandaliwa na Wizara ya Mawasiliano na teknolojia kujadili changamoto za mawasiliano pamoja na ukuaji wa broadband katika nchi za Afrika. Mkutano ulifanyika katika hoteli ya kimataifa ya Ramada Resort jijini Dar es Salaam. Meneja Uhusiano Huawei Tanzania Bw. Jimmy Nlinguo akipokea tuzo ya uongozi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kipanya:Vibonzo na siasa za Tanzania

Vibonzo vimechangia katika siasa hasa wakati wa kampeni za uchaguzi,vibonzo hivyo vyenye taswira ya masihara huwalenga wanasiasa

 

9 years ago

Michuzi

KIPANYA AKIHOJIWA NA BBC: VIBONZO NA SIASA TANZANIA

Kuna mahojianomtangazaji wa BBC-Dia ya Dunia Zuhura Yunus na Masoud Kipanya kuhusu mchango wa Vibonzo kwenye uchaguzi. 
Masoudkipanya-vibonzo Zuhura Yunus akiwa jijini Dar es salaam alizungumza na miongoni mwa wachoraji maarufu wa vibonzo nchini Tanzania hasa za kisiasa, maarufu Masoud Kipanya na mwanzo akitaka kujua huwa anafkiria nini kabla hajachora kibonzo.BOFYA HAPA KUONA NINI WALIZUNGUMZA.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchango wa Sanaa katika Kiswahili

Katika shule za msingi, sekondari na pia vyuo vikuu lipo somo linalojulikana kama ‘sanaa za maonyesho’. Hili ni somo linalotilia mkazo mbinu mbalimbali za kuwasilisha ujumbe katika hadhira tofauti kwa kutumia lugha na vitendo. Darasani wanafunzi wanapata fursa ya kutoa ujumbe fulani mbele ya darasa kama vile hadithi, vitendawili na hata nyimbo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinjeketile na mchango wake katika Vita ya Majimaji

Historia ya vita ya Majimaji imekuwa ikielezwa kwa namna mbalimbali. Kila mmoja anasimulia kwa namna alivyosikia. Wananchi wengi wa ukanda wa kusini walikimbia vita na kuishi sehemu tofauti tofauti na kila mtu amekuwa akisimulia anavyojua ama alivyosimuliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani