Picha: ‘Na Mwanangu Bila Kumsahau Mkwe Wangu.. Sitaki Maswali”-JB
Hii ni moja kai ya picha iliyofagiliwa na wengi wiki hii huko Instagram, inajumuisha mstaa wakali kutoka Bongo Movies, JB, Ray na Wema Sepetu.
Mbali na wengi kubonyeza kitufe ya kupenda na kutupia maneno kwenye picha hii, alichokiandika JB mara baada ya kubandika picha hii ndicho kilicho changamsha genege.
JB aliandiaka;
‘Na mwanangu bila kumsahau mkwe wangu.. Sitaki maswali”
Mimi hapa nikajiongeza, hapa nazungumziwa Wema lakini ni utani tu, wewe je?.
Mzee wa Ubuyu
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Nilimshuhudia mume wangu akimbaka mwanangu’
10 years ago
CloudsFM12 Nov
NAY WA MITEGO: SITAKI WATOTO WANGU WAFANYE MUZIKI
Staa wa Bongo Flava ambaye ana tuzo ya wimbo bora wa Hip hop, Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake wawe wanamuziki kama yeye. ‘’Mimi ni mwanamuziki na nimepata mafanikio kupitia kazi hii lakini sitaki watoto wangu wawe wanamuziki’’,alisema Nay Wa Mitego.
10 years ago
Vijimambo16 Jan
Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/AMANDA10.jpg)
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0Q*ReSH68Ob5zw141IjOJMG0IflAfwNt3nxCnbrMJa41NdugvfmH1DcPisx-X8USU9B35s7jTBbPN5ULHWwffWN/MUME.jpg)
MUME: MKE WANGU KANICHOMA KWA MAJI YA MOTO NA MWANANGU
10 years ago
Bongo Movies16 Jan
Hapa na Pale:Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la lenye mvuto wa aina yake, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa.
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
10 years ago
Mwananchi24 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Deogratias Ntukamazina
10 years ago
Mwananchi26 Feb
MASWALI KUMI KWA WANGU MARIAM KASEMBE
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa
10 years ago
Mwananchi25 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: John Mnyika