Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: ‘Na Mwanangu Bila Kumsahau Mkwe Wangu.. Sitaki Maswali”-JB

Hii  ni moja kai ya picha iliyofagiliwa na wengi  wiki hii huko Instagram, inajumuisha mstaa wakali kutoka Bongo Movies, JB, Ray na Wema Sepetu.

Mbali na wengi kubonyeza kitufe ya kupenda na kutupia maneno kwenye picha hii, alichokiandika JB mara baada ya kubandika picha hii ndicho kilicho changamsha genege.

JB aliandiaka;

‘Na mwanangu bila kumsahau mkwe wangu.. Sitaki maswali”

Mimi hapa nikajiongeza, hapa nazungumziwa Wema lakini ni utani tu, wewe je?.

Mzee wa Ubuyu

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Nilimshuhudia mume wangu akimbaka mwanangu’

Kutokana na kumwamini mumewe, Rehema Saidi, mkazi wa kijiji cha Rahaleo, Kata ya Mkunya Wilaya ya Newala mkoani Mtwara, hakuwahi kutia shaka pale alipomwacha na watoto, wakati yeye alipolazimika kutoka kwenda sehemu yoyote kwa ajili ya shughuli za kifamilia.

 

10 years ago

CloudsFM

NAY WA MITEGO: SITAKI WATOTO WANGU WAFANYE MUZIKI

Staa wa Bongo Flava ambaye ana tuzo ya wimbo bora wa Hip hop, Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake wawe wanamuziki kama yeye. ‘’Mimi ni mwanamuziki na nimepata mafanikio kupitia kazi hii lakini sitaki watoto wangu wawe wanamuziki’’,alisema Nay Wa Mitego.

 

10 years ago

Vijimambo

Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda

Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la lenye mvuto wa aina yake, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa.
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...

 

10 years ago

GPL

MUME: MKE WANGU KANICHOMA KWA MAJI YA MOTO NA MWANANGU

Ni hali ya kusikitisha na kustaajabu kwa  jamii baada ya Tunu Kimaro kummwagia maji ya moto mumewe, William Mushi (32), mkazi wa Mabibo  jijini Dar es Salaam pamoja na mtoto wake mchanga. Tukio hilo la kikatili lilitokea Agosti 15, mwaka huu nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam na lilishangaza majirani kutokana na Tunu kudaiwa kuchukuwa maji ya moto yaliyokuwa yanachemka na kuwamwagia bila huruma. Bw. William Mushi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa na Pale:Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda

Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la lenye mvuto wa aina yake, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa.

Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.

“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...

 

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Deogratias Ntukamazina

>Uliahidi kuondoa kero ya wazee kulipia gharama za matibabu katika vituo vya kutolea huduma, hadi sasa wananchi bado wanataabika. Je, umefanya jitihada gani kuhakikisha wazee hao wanatibiwa bure katika hospitali ndani ya meneo yao?

 

10 years ago

Mwananchi

MASWALI KUMI KWA WANGU MARIAM KASEMBE

Kwanza niseme kuwa Ernest hajafika Chikunja kwa zaidi ya miaka mitano. Chikunja kuna zahanati inafanya kazi kwa zaidi ya miaka mitano sasa na wananchi wanapata huduma.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa

Ukosefu wa uelewa wa sheria umekuwa changamoto kubwa  kwa wananchi  wa Jimbo la Iringa Mjini, je, kwa nafasi yako ya ubunge umewasaidiaje wananchi katika kuwajengea uwezo kisheria?

 

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: John Mnyika

>Ulituahidi kuondoa kero ya machinga kabla ya kupata kura yangu, leo hii tunaishi kama popo mitaani umefanya jitihada gani mpaka sasa?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani