Tahadhari kwa wezi wa simu mitaani
Simu ya mkononi iliyokuwa imeibwa, ilituma ujumbe mfupi na picha ya mwizi wa simu hiyo kwa mmiliki wake halisi na kwa polisi pia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Je umetuma picha za utupu kwa simu? Tahadhari
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-CkeelarVD5M/U1eEzpfX6yI/AAAAAAAAAXM/3HmvI8F2ybc/s72-c/1.jpg)
TAHADHARI: UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI!
![](http://4.bp.blogspot.com/-CkeelarVD5M/U1eEzpfX6yI/AAAAAAAAAXM/3HmvI8F2ybc/s1600/1.jpg)
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie. 2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s72-c/index.jpg)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YATOA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s640/index.jpg)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.
2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
5 years ago
MichuziMAFUNDI SIMU KIZIMBANI KWA KUJIHUSISHA NA SIMU ZILIZOFUNGWA
Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao leo Machi 11, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustina Mmbando.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa Serikali Easter Martin amedai Februari 27, mwaka huu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgkloq4zC2loa1awNaXVVU2ZGQp2PqL3gcdFg31AY-D-GPgJv8anrzDJiKBQDFXStLl3deo-LLePg9keqxV4UeT*6mh/nisha.jpg)
NISHA AWASHTAKIA WEZI KWA MUNGU
10 years ago
Bongo Movies11 May
Hapa na Pale: Pole Nisha kwa Kuvamiwa na Wezi
“Kila jambo hujengwa kwa imani,nakushukuru baba hakika wewe ndo ulinipa na wewe ndo umechukua, ahsanteni wezi/majambazi
Wapenzi nimevamiwa usiku wa kuamkia leo (jana), watu wasiopungua watano,wamekuja na gari kabisa,wamechukua walivyochukua kikubwa nipo hai’- Hayo ndiyo maelezo ya Staa wa Bongo Movies Salma Jabu ‘Nisha’ mara baada ya Wezi kumvamia na kukomba vitu baadhi kama unavyoona hapo juu pichani.
Pole sana Nisha, Mungu akupe nguvu na baraka zaidi.
Mzee wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Anusurika kifo kwa kunywa dawa ya kukamata wezi
MKAZI wa Bunda mkoani Mara, Pendo Kona amepoteza fahamu na kulazwa katika Hospitali ya DDH-Bunda, baada ya kunyweshwa dawa za kienyeji na waganga ili awabaini waliomwibia ng’ombe wake wawili Januari...