Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SWALI LA KIZUSHI

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Swali la Kizushi Kutoka kwa Nisha…..

Helloo wapenzi!? Eti ni nani kati ya hawa nikicheza nao huwa tunakukuna haswa mtima,yaani huwa unapenda couple yetu tukicheza pamoja,(taja wawili)
Mf:Mlela na Mau au vile ww unapenda (nb:hii inahusu wanaume niliyofanya nao kazi tu)

Nisha ameuliza mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu.

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGEWA MOSHI VIJIJINI DKT CYRIL CHAMI ASIKITISHWA NA TAARIFA ZA KIZUSHI ZINAZOSAMBAZWA KWA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI JUU YAKE.

Mimi Dr Cyril August Chami, Mbunge wa Moshi Vijijini (CCM) napenda kueleza masikitiko yangu kwa taarifa za uzushi na za kutunga kuwa eti mke wangu asiye na jina amemuua mfanyakazi wetu Mwislamu kwa sababu "marehemu" alikataa kwenda kanisani.

Mimi sina mfanyakazi wa jina hilo la Mariamu. Wala sina mfanyakazi mwenye umri wa miaka 16. Hatuna tatizo lolote la mfanyakazi yeyote kupigwa, achilia mbali kuuawa. Lakini taarifa hizo ambazo ni za uongo mtupu zimewashtua wengi kwa sababu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Linex afunga mwaka na swali

MSANII wa muziki wa Bongo fleva, Sunday Mangu ‘Linex’, amesema kuwa kabla ya mwaka haujaisha, ataachia wimbo wake mpya wa ‘Unataka Ndoa au Harusi’. Linex alisema wimbo huo ambao haujamlenga...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

BBCSwahili

Algeria:Kocha akerwa na swali

Kocha Vahid Halilhodzic amekasirishwa na swali kuhusu wachezaji wake wanaofunga Ramadhan kabla ya mechi na Ujerumani

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa agoma kujibu swali la Richmond

Mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa jana aliruhusu maswali kwenye mkutano wake wa kampeni, lakini akakataa kujibu swali lililomtaka aelezee kilichotokea kwenye sakata la Richmond, akisema swali hilo “halina maana”.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgombea Chadema afariki akijibu swali

Mgombea wa nafasi za Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema na mweka hazina, Jimbo la Muheza mkoani Tanga, Rashid Mhina amefariki ghafla wakati akihojiwa na wapigakura.

 

10 years ago

Mwananchi

Swali sakata la escrow ‘lamvunja mbavu’ Jaji Mkuu Chande

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande jana aliangua kicheko baada ya kuulizwa ni lini atatoa tamko la majaji wanaotuhumiwa katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani