Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Linex afunga mwaka na swali

MSANII wa muziki wa Bongo fleva, Sunday Mangu ‘Linex’, amesema kuwa kabla ya mwaka haujaisha, ataachia wimbo wake mpya wa ‘Unataka Ndoa au Harusi’. Linex alisema wimbo huo ambao haujamlenga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Linex: Nimeingiza mkwanja mrefu mwaka 2014 kuliko miaka yote

Mwaka 2014 umekuwa wenye neema kuliko miaka yote kwa Linex Sunday Mjeda kwakuwa anadai ameingiza mkwanja mrefu zaidi. Linex ameiambia Bongo5 kuwa anafikiri yeye ni msanii pekee aliyefanya matangazo mengi ya biashara ya redio kuliko wasanii wote wa Tanzania. “Toka nimeanza kufanya Bongo Flava, hakuna mwaka nimefanikiwa kama mwaka huu,” amesema Linex. “Mwaka huu nimefanya […]

 

10 years ago

GPL

WEMA AFUNGA MWAKA KWA KILIO!

Stori: Musa Mateja na Imelda Mtema
OHOOOO! Wakati pazia la mwaka 2014 likifungwa leo, mama la mama, Wema Sepetu ‘Madam’ ameuaga mwaka huo kwa staili ya kilio cha nguvu, Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo hatua kwa hatua. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam akilia huku akibembelezwa na shost yake Aunt Ezekiel. NI KWENYE SHOO YAKE
Tukio hilo lililozua maswali mengi bila majibu,...

 

11 years ago

GPL

WEMA AFUNGA MWAKA KWA MGONGO WAZI

Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu hivi karibuni ameachia picha tata kwenye akaunti yake ya Mtandao wa Instagram zikimuonesha akiwa ameacha mgongo wazi, jambo lililotafsiriwa na wengi kuwa ameamua kufunga mwaka huu kwa staili hiyo ya kuacha mgongo nje, Showbiz inakudondoshea. Wema Sepetu akiwa ameacha mgongo wake wazi. Katika picha hizo, Wema anaonekana kujichora tatoo kibao kuanzia shingoni na kumfanya aonekane tofauti na...

 

9 years ago

Global Publishers

Msaga Sumu afunga mwaka Dar Live kwa kishindo

msagas msagasumu akiimba wimbo wa shemeji unanitega Bingwa wa muziki wa Singeli, Msaga Sumu akifanya yake Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar .

mashabikiiiiMashabiki  wakimshangilia Msaga Sumu (hayupo katika picha).

msagasumu akikamua ngoma ya huyu mtotoMashabiki  akiendelea na shoo yake.

msagasumu msagasumuuAkiendelea na Makamuzi yake mida ya Saa 5: 50 usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.

(PICHA: MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS/GPL)

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Wolper Afunga Mwaka Kwa Kuachia Hizi Zilizowachanganya Wengi!!

Ikiwa zimebaki saa chache tu tuuage mwaka 2014 na tuupokee mwaka 2015, mrembo na  mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa  namna yake, ameacha gumzo mtandaoni baada ya kutupia picha hizi na kuwatakia kheri  ya mwaka mpya mashabiki wake.

Picha hizi ambao alizitupia moja moja tangu jana zimeleta gumzo kubwa miongoni mwamashabiki wale ‘kindakindaki’ wa mwanadada huyu, kwani wengi hasa vidume wameoneka kuchanganywa kabisa na picha hizi na wengi  wao wamejikuta wakiachia "comment" za kumsifia hadi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hoyce Temu afunga mwaka kwa kutembelea kituo cha wazee, Lundenga amtaja kama Miss bora kuwahi kutokea

IMG_9916

IMG_9920

Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (wa pili kushoto) akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa shindano la Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati) kushoto Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania, Albert Makoye ( wa pili kulia), Katibu wa Kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa (kulia) pamoja na mpiga picha wa kipindi cha Mimi na Tanzania, Geofrey Magawa a.k.a KIM (kushoto) wakiwasili Desemba 31, 2015 kwenye makazi ya wazee na watu wenye ulemavu...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

BBCSwahili

Algeria:Kocha akerwa na swali

Kocha Vahid Halilhodzic amekasirishwa na swali kuhusu wachezaji wake wanaofunga Ramadhan kabla ya mechi na Ujerumani

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani