SWALI GANI UNGEPANDA KUMUULIZA STAA HUYU?
![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCtZwmBXDzIMz8zj8r6J1in-eI*rnBnjDO*kHUYaoJcoAUYSAis0BpvQOonupyDnZW4tCjr-WzjmoLHTSNXnD6po/DIAMOND.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Dec
Mkasi: Salama amuuliza Nisher swali ambalo kila mtu huhofia kumuuliza!
![12394066_461509067382434_771678220_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12394066_461509067382434_771678220_n-300x194.jpg)
Salama Jabir amemuuliza Nisher swali ambalo watu wengi huogopa kumuuliza. Angalia promo ya kipindi cha Mkasi cha Jumatatu ijayo kujua ni swali gani hilo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo501 Dec
Staa huyu mrembo wa Kenya akubali kasi ya Magufuli
![11875527_879234492167295_1538931681_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11875527_879234492167295_1538931681_n-300x194.jpg)
Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye.
Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo: What would Tanzania’s cost-cutting president do? Twitter responds.
Jina lake linatrend muda wote kwenye mtandao wa Twitter na kadri siku zinavyooenda habari za utendaji wake zinazidi kuenea.
Hata wasichana wazuri kama Sheila Mwanyiga aka Nikki nao wamempa salute Magu.
This man #Magufuli… A #NewAfrica rises...
11 years ago
GPL16 Jul
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal …
Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny. Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya linafunguliwa January 1 klabu […]
The post Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya Kolo Toure, huyu ni staa mwingine wa soka aliyefungiwa kwa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ….
Najua umezoea kusikia zile headlines za wanamichezo kadhaa wakiingia katika shutuma za kutumia dawa za kuongeza nguvu michezoni dawa ambazo zimekatazwa kutumika katika michezo. Miongoni mwa wanamichezo ambao wamekuwa wakituhumiwa kutumia dawa hizo ni wanariadha na mabondia. Stori zilizopo katika headlines kwa sasa zinamuhusu staa wa soka wa Brazil anayekipiga katika klabu ya Shaktar Donetsk ya Ukraine Frederico […]
The post Baada ya Kolo Toure, huyu ni staa mwingine wa soka aliyefungiwa kwa...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
List ya wachezaji wanaokimbia ubachela yazidi kuongezeka, baada ya Niyonzima, huyu ndio staa aliyefunga ndoa (+Pichaz)
Baada ya kuwa katika uchumba wa muda mrefu wa takribani miaka minne Christine Bleakley na kiungo wa zamani wa klabu ya Chelsea ya Uingereza ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya New York City Frank Lampard, December 20 amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu. Lampard sasa anaungana katika kambi ya wanasoka walioa baada […]
The post List ya wachezaji wanaokimbia ubachela yazidi kuongezeka, baada ya Niyonzima, huyu ndio staa aliyefunga ndoa (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?
Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]
The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Shiekh Mohammed Al Maktoum: Je mtawala huyu wa Dubai ni mtu wa aina gani?
10 years ago
GPLJOKATE: MAPENZI YA STAA KWA STAA MBONA POA TU!