Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shiekh Mohammed Al Maktoum: Je mtawala huyu wa Dubai ni mtu wa aina gani?

Bilionea huyo ameimarisha milki hiyo ya kiarabu na kuifanya kituo kikiuu cha Biashara na utalii.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MABALOZI WADOGO DUBAI WASHIRIKI SALAAM ZA RAMADAN KWA MTAWALA WA FALME YA UMM AL QUWAIN NA FUJAIRAH

 Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mheshimia Omar Mjenga akiwa na wanadiplomasia wenzake  kwenye salaam hizo za mtawala wa Umm Al Quwain. Wa tano kushoto mwa Mhe. Mjenga ni mtawala wa Falme ya UMM AL Quwain.

 

10 years ago

Vijimambo

Mhe. Mohammed Aboud Awasili Dubai kwa ziara ya Kikazi

Pichani kulia ni Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, akimkaribisha Mhe. Aboud, Dubai, na kushoto ni Nd. Islam Balhabou
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mohammed Aboud, amewasili Dubai kwa ziara ya kikazi.
Akiwa Dubai, Mhe. Aboud atafanya mazungumzo na Kamati ya Maandalizi ya Maonyesho ya Biashara ya Dunia 2020 (World Expo2020).
Aidha, atafanya mazungumzo na Nd. Islam Balhabou, Mfanyabiashara Mtanzania ambaye amejitolea kufungua afisi...

 

10 years ago

Vijimambo

WAHESHIMIWA JANET MBENE NA MOHAMMED ABOUD WAENDELEA NA ZIARA YAO DUBAI

Waheshimiwa Janet Mbene na Mohammed Aboud, leo wameendelea na ziara yao ya kikazi Dubai. Katika kikao cha leo, ujumbe huu pamoja na mwenyeji wao Mhe. Omar Mjenga, wamefanya mazungumzo ya biashara na Rais Mstaafu wa Comoro Mzee Sambi.Pichani ni mazungumzo hayo yakiendelea.

 

10 years ago

GPL

WEWE NI RAFIKI WA AINA GANI?

Ukipenda usipende rafiki zako wamekuweka katika kundi fulani, unaweza kuwa na mtu ambaye rafiki zako wanakukumbuka kila mara kwa kukutakia mema, au unaweza kuwa aina ya rafiki ambaye rafiki zako wakikuona tu wanaanza kukutukana na kukulaani. Sasa wewe unajijua rafiki zako wamekuweka kundi gani? Inawezekana wewe ni aina ya rafiki ambaye unakumbukwa tu kama kukiwa na mnuso au watu wanataka kutoka out,  hasa kama una pesa au...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab ni kundi la aina gani?

Haya hapa maelezo kuhusu kundi hilo katika sekunde 60.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania inahitaji watumishi wafanyakazi wa aina gani?

Mwanzo wa maendeleo ya kweli kwa nchi yoyote duniani kama historia inavyodhirisha, ni pale watumishi na wafanyakazi wanapobadilika na kujitambua kutokana na kuwepo sera na mifumo ya usimamizi nautendaji kazi inayotambua nafasi, stahili au haki, wajibu na majukumu ya kila mtu katika kuchangia maendeleo ya nchi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hosini Mubarak: Je alikuwa kiongozi wa aina gani Misri?

Hosni Mubarak alikuwa kiongozi aliyeunga mkono amani na Israel lakini akapinduliwa madarakani na raia wake.

 

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA MKATABA WAKO WA AJIRA NI WA AINA GANI KISHERIA.


Na  Bashir  Yakub
Kama  ilivyo  makubaliano  katika  shughuli  nyingine  za  kijamii  ajira  nayo  huwa  na  makubaliano  maalum  wakati   inapoingiwa. Makubaliano  haya ndiyo  huitwa  mkataba na  yumkini  huingiwa  kati  ya  wahusika  wawili  yaani  muajiriwa  na  muajiri. Aina  ya  mahusiano  wanayoingia  wahusika  ndiyo  huibua  aina za haki  na   wajibu  kwa  pande  zote  mbili. Mwenye  haki  hutakiwa  kutoa  haki  hiyo  kwa  mwenzake  naye  mwenye  wajibu  huwa  hana hiari  isipokuwa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani