JK kuzindua studio za Azam
Rais Jakaya Kikwete leo anazindua studio za kituo cha televisheni cha Azam zilizopo Tabata jijini hapa.Naibu Ofisa Mtendaji wa Azam, Tido Mhando alisema jana kuwa mwitikio wa Rais kwa ajili ya shughuli hiyo ni faraja kubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytodBCvIFRSv9JABLKbptmMB3a8GkXAz67xT1q5TANAa-Y6*uZX2TtE1uhtWYX--iXOo*N2ysW-fKorviK8juK05/1.jpg?width=650)
KIKWETE KUZINDUA STUDIO ZA AZAM TV KESHO
Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam Media Group Tido Muhando akiongea mbele ya waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa kituo hicho hapo kesho. Mkurugenzi uendeshaji wa vipindi vya Azam TV, Yahaya Mohamed, akifafanua jinsi vipindi vyao vitakavyoboleshwa.…
10 years ago
GPL10 years ago
Habarileo06 Mar
Kikwete mgeni rasmi uzinduzi wa studio ya Azam Tv
RAIS Jakaya Kikwete leo atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa studio ya kisasa ya Azam Tv itakayojulikana kama Uhai Production iliyopo eneo la Tabata kando ya barabara ya Mandela.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-78dOBmn-rVU/VPhGJEZyWUI/AAAAAAAHH1I/IMj2mDbG1VM/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
BILIONI 56 ZATUMIKA KUJENGA STUDIO ZA AZAM TV, RAIS KIKWETE KUZIZINDUA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-78dOBmn-rVU/VPhGJEZyWUI/AAAAAAAHH1I/IMj2mDbG1VM/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando wamiliki wa Azam TV leo mchana katika Mkutano na Waandishi wa Habari, Tabata, Dar es Salaam.
Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza kampuni kubwa za vyombo vya habari zikiwemo Idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na Mwananchi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggfi0NrUMVU/VPoVn55jlUI/AAAAAAAHINo/4q3l2kOphR8/s72-c/a7.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI STUDIO MPYA ZA AZAM TV JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggfi0NrUMVU/VPoVn55jlUI/AAAAAAAHINo/4q3l2kOphR8/s1600/a7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HUZpU9i7et4/VPoVk4sn-_I/AAAAAAAHIM0/KwXxvvOPj7o/s1600/a2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-5l3Kdc4YmPc/Vj_LeFN3TRI/AAAAAAABaCk/JWd78YsnaUg/s640/azam.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Azam waivaa Ferraviario ndani Azam Complex
Matajiri wa Chamazi, Azam leo wataweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kucheza mechi ya kimataifa kwenye uwanja wake watakapowakaribisha Ferraviario Da Beira kwenye uwanja wa Azam Complex katika mchezo wa awali Kombe la Shirikisho CAF.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania