MBUNGE ANDREW CHENGE, AKIRI KUPOKEA TSH 1.6 BILIONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_4Z2Rnkp98c/VcSoM6GniyI/AAAAAAABTPw/9hjY2t19pgo/s72-c/chenge.jpg)
Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amekiri mbele ya Baraza la Maadili kupokea Sh1.6 bilioni kutoka Kampuni ya VIP Enginering and Marketing Limited, zikiwa ni malipo ya kutoa ushauri.
Pia, alihoji kama kuna tatizo kutumia taaluma yake ya sheria kuzishauri kampuni binafsi na kujipatia fedha.Chenge ambaye alitoa utetezi wake jana saa 7:30 mchana, alisema hakulipwa fedha hizo kwa sababu ni kiongozi wa umma, bali kwa kutoa ushauri.Alisema aliingia mkataba na kampuni hiyo wa kutoa ushauri...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Chenge akiri kupokea Sh1.6 bilioni
10 years ago
Mwananchi25 Feb
TAARIFA: Andrew Chenge ni nani?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
SAKATA LA ESCROW: ANDREW CHENGE AMEKATAA KUHOJIWA NA BARAZA LA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-IiQiNy84WPo/VQaN_P9R3TI/AAAAAAAB5nU/inMKj4V172s/s1600/2G2A4891.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248
10 years ago
GPLMBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8OwwPQAVC2w/Vl7i3U7elBI/AAAAAAAIJxg/QnlHQDoAOT8/s72-c/mbando-august22-2014.jpg)
SERIKALI KUTUMIA TSH. BILIONI 5 KUHUDUMIA KAMBI ZA MADAKTARI BINGWA WA MOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8OwwPQAVC2w/Vl7i3U7elBI/AAAAAAAIJxg/QnlHQDoAOT8/s320/mbando-august22-2014.jpg)
Lengo la mkakati huo ni kuhakikisha Wagonjwa wengi wanahudumiwa katika kipindi kifupi pamoja na kupunguza gharama za kusafirisha wagonjwa nje ya nchi, ambao wengi wao husafiri kwa ajili ya matibabu ya magonjwa ya moyo, figo na...
11 years ago
Dewji Blog![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/TBC-yapata-gari-la-kisasa-la-matangazo.jpg)
Serikali ya China yaikabidhi TBC gari la matangazo lenye thamani ya Tsh. Bilioni 6
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu imeikabidhi Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) msaada wa gari la kurushia Matangazo lenye thamani ya Tsh. Bilioni 6 ili kuboresha utendaji wa shughuli za shirika hilo.
Akipokea msaada huo kwa niaba ya Serikali ya Tanzania, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara alisema msaada ni kielelezo cha urafiki wa kweli wa kimaendeleo katika nyanja mbalimbali uliopo baina ya Tanzania na China.
Mukangara...
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
Chama cha Walimu (CWT), Mkoa wa Dar es Salaam kinaidai Serikali Tsh.Bilioni 1.1
10 years ago
MichuziWANANCHI LUVUYO NA MBUNGE WAJENGA BARABARA YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 52