Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI MUHONGO AHOJIWA NA MWANDISHI WA GAZETI LA THE NEW AUSTRALIAN

 Mwandishi wa Habari kutoka Gazeti la ‘The West Australian’ Kim MacDonald, akiandika maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo alipofanya mahojiano naye mapema leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
“Serikali ya Tanzania imejipanga vipi katika kuhakikisha gesi asili inayoendelea kugunduliwa nchini inakuwa yenye manufaa kwa nchi?” Ndivyo anavyouliza Mwandishi huyo

“Moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha asilimia 75 ya Watanzania wanapata umeme wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANDISHI WA UJERUMANI ALIFAGILIA GAZETI LA ‘UWAZI’

Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdalah Mrisho (kushoto), akiongea na mwandishi Hawa Bihoga wa Idhaa ya Kiswahili Ujerumani (DW) ofisini kwake Sinza-Bamaga jijini Dar es Salaam. Bihoga alifika hapo kulipongeza gazeti la Uwazi  na mwandishi Haruni Sanchawa.
Mrisho akiagana  na Bihoga. MWANDISHI  wa Shirika la Habari Idhaa ya Kiswahili Ujerumani (DW),  Hawa Bihoga,  ametoa pongezi kubwa kwa kampuni ya Global...

 

11 years ago

Habarileo

Gazeti la Mawio na mwandishi wake Jabir wadaiwa fidia bil.2/-

MKURUGENZI Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Peter Keasi, amefungulia shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo, Jabir Idrissa, akidai fidia ya Sh billioni mbili kwa madai ya kukashifiwa.

 

5 years ago

FXStreet

Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated

Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated  FXStreetCoronavirus a global health crisis: PM  7NEWS.com.auView Full coverage on Google News

 

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA UWAZI MIZENGWE: MWAKYEMBE WAZIRI MKUU

Mwakyembe Waziri Mkuu -Awabwaga akina Lukuvi, Prof. Muhongo, Makamba, Mwigulu na Ndugai -Utendaji kuwa wa mchaka mchaka -Wasomi mwazungumzia hali ya nchi itakavyokuwa Vita ya Usika... -Ukawa wajipenyeza CCM -Vuta ni kuvute bwaga nikubwage Muhimbili bado inahitaji Mashine zaidi Makala kemkem za kuelimisha na kusisimua Kwa haya na mengine mengi, soma Gazeti la Uwazi Mizengwe, Ijumaa hii. ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TAWOMA wamlalamikia Waziri Muhongo

MWENYEKITI wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (TAWOMA), Eunice Negele, amelalamikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ana mpango wa kukiua chama hicho. Sambamba na hilo, Mwenyekiti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vituko vya Waziri Muhongo

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospiter Muhongo, anaweza kuwa waziri mwenye vituko kuliko wote kwa mwaka uliopita 2013 na mwaka huu mpya wa 2014. Mbali ya kituko cha mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MUHONGO AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo katika picha ya pamoja na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini za Kiislamu na Kikirsto kutoka Mikoa ya Mwanza na Geita. Wa pili nyuma kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani. Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati), akisalimiana na Askofu Zenabius Isaya na baadhi ya Viongozi wa Dini wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri Muhongo akerwa na mhandisi wa maji

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Musoma Vijijini, Federika Myovela kumshusha cheo mhandisi aliyeshindwa kutaja vijiji 10 vitakavyotekeleza mradi wa maji wa zaidi ya Sh30 bilioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani