WAZIRI MUHONGO AHOJIWA NA MWANDISHI WA GAZETI LA THE NEW AUSTRALIAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-ns_vSwKGd04/U3DKCM9uZ1I/AAAAAAAFhHY/t8ZGhh-D9Zs/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Mwandishi wa Habari kutoka Gazeti la ‘The West Australian’ Kim MacDonald, akiandika maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo alipofanya mahojiano naye mapema leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
“Serikali ya Tanzania imejipanga vipi katika kuhakikisha gesi asili inayoendelea kugunduliwa nchini inakuwa yenye manufaa kwa nchi?” Ndivyo anavyouliza Mwandishi huyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-YCA6MIDxK1M/U3DKCFVEOXI/AAAAAAAFhHU/UxaGCMlrmnc/s1600/unnamed+(36).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWANDISHI WA UJERUMANI ALIFAGILIA GAZETI LA ‘UWAZI’
11 years ago
Habarileo21 Jul
Gazeti la Mawio na mwandishi wake Jabir wadaiwa fidia bil.2/-
MKURUGENZI Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Peter Keasi, amefungulia shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo, Jabir Idrissa, akidai fidia ya Sh billioni mbili kwa madai ya kukashifiwa.
5 years ago
FXStreet25 Feb
Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Mwakyembe.jpg)
YALIYOMO KWENYE GAZETI LA UWAZI MIZENGWE: MWAKYEMBE WAZIRI MKUU
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
TAWOMA wamlalamikia Waziri Muhongo
MWENYEKITI wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (TAWOMA), Eunice Negele, amelalamikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ana mpango wa kukiua chama hicho. Sambamba na hilo, Mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Vituko vya Waziri Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospiter Muhongo, anaweza kuwa waziri mwenye vituko kuliko wote kwa mwaka uliopita 2013 na mwaka huu mpya wa 2014. Mbali ya kituko cha mwaka...
10 years ago
MichuziWAZIRI MUHONGO AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Waziri Muhongo akerwa na mhandisi wa maji