RAY Afunguka na Kukataa Kuhusika Kabisa na Mtoto aliye mzaa JOHARI...
Staa wa filamu Bongo,Vincent Kigosi ‘Ray’.Hivi karibuni gazeti hili lilimbana staa huyo anayetamba sokoni kwa sasa na Filamu ya Chicken Head baada ya kubambwa nje ya Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar, kulikokuwa na sherehe za Tuzo za TAFA ambapo aliweka wazi.Awali, Ray alisema si busara wala hataki...kuzungumza mengi juu ya madai hayo kwani hahusiki kwa lolote na kwamba watu wasimtafsiri kutokana na maneno yasiyokuwa na ukweli huku akimtaja mpenzi wake wa sasa, Chuchu Hans kuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmEjU9MAUVqKCNsP541Q9rXYGH5gAqqjp2yAzRpIHbd7drpnrFJOzyCovrd2tzubtASUc1qfcJV6Bjr*bThEoAQ/drtete.gif?width=650)
RAY ABANWA MTOTO WA JOHARI, AFUNGUKA!
9 years ago
Bongo510 Sep
Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d4PDQROdK4cyk99YzQrVvbPirw6CO4W1CkTI6x-4ZYZLZA3P13K6trKCgzbyJf9ylsl6mGaQJedVKViUo74o5EC/ray.jpg)
RAY, JOHARI WACHENGANA
10 years ago
Bongo Movies24 Apr
Johari Amkana Ray!
Staa wa Bongo Movies na mmiliki mwenza wa kampuni ya filamu nchini ya ‘RJ Company’, Blandina Chagula ‘Johari’, ameibuka na kushangaza wengi kwa kauli yake kwamba hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji mwenzake, Vicent Kigosi ‘Ray’.
Staa huyo aliwahi kukiri kuwa na uhusiano huo na msanii huyo na kwamba walishaachana kwa amani, ndiyo maana waliweza kuendelea na kampuni yao ya masuala ya filamu ya Rj Company.
Juzi Johari ameliambia gazeti la Mtanzania kwamba, muda mrefu alikuwa...
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Chuchu: Ray na Johari si Wapenzi
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Chuchu Hans amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa mpenzi wake ambaye pia ni staa wa filamu,Vincent Kigosi,’Ray’ hana uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Blandina Chagula’Johari’ kama ambavyo watu wanadhani.
Chuchu amefunguka kupitia Movie Leo na Zamaradi Mketema kuwa watu wamekuwa wakidhani Ray na Johari wana uhusiano wa kimapenzi lakini yeye anavyojua hawana uhusiano bali ni wanafanya kazi kwenye kampuni moja kama wakurugenzi(RJ Film).
‘’Ninachojua mimi Ray...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mxcWg0hyTenRbxPWpTf4A26W2yS1MJzv3HdxF43OUBuLSMK5OVnr2r0SiHSCs8xzB1H09flR3s6De6vWhQ20yNp/Johari.gif?width=650)
JOHARI AMPATA MRITHI WA RAY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRATs4HKVwmonEt-8yOP7t9F-P79UVYgVrsBBBIkd6mB8ZaeWcG-Y-Gh-PTEbUwzfxH1XmzVk3HLcCyLN-QqqRVKb/johari.jpg?width=650)
JOHARI: NIKO RJ SIKO NA RAY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t-*S-Smp104FYy8GRW48bK8OCSopN97MAP-12aKFzWWLu1DSz2-VZsl3TlxZ6pp3w0r*3bAqrEYuooxqPPqQqMb/johari.jpg?width=650)
MAMA JOHARI AMFUMUA RAY