Mfumo wa Tancis wasaidia kuondoa urasimu, wizi bandarini
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mpya wa forodha wa kielektroniki (Tancis) umesaidia kuondoa urasimu na wizi wa makontena Bandarini. Ofisa Mwandamizi wa TRA, Felix Tinkasimile, alisema hayo katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa
11 years ago
Tanzania Daima14 Oct
TRA yawanoa wateja mfumo wa Tancis
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa, imeandaa mafunzo kwa wateja wake na taasisi mbalimbali juu ya mfumo mpya ya forodha uitwao ‘Tanzania Customs Integrated...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Serikali imetakiwa kuondoa urasimu
11 years ago
Mwananchi13 Sep
JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara
10 years ago
Michuzi
MFUMO MPYA WA UONDOSHJI MIZIGO(TANCIS)KUONGEZA UWAZI NA UWAJIBIKAJI


10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Mfumo mpya wa undoshaji Mizigo (TANCIS) kuongeza uwazi na uwajibikaji
Kamishna wa Forodha na Ushuru kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Masamaki Kabisi akiwaeleza waandishi wa Habari juu ya faida za Mfumo mpya wa Uondoshaji Mizigo bandarini(TANCIS) ikiwa unasaidia katika kufanya makadirio ya kodi sahihi kulingana na taarifa sahihi zilizoletwa kwa kutumia mfumo huo, pia utasaidia wateja kujua sehemu mizigo yao ilipo na pia wanapaswa kulipa kiasi gani kulingana na mzigo wa mteja, wakati wa Mkutano na waandishi wa Habari leo Jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Watumishi 12 mbaroni wizi wa kontena bandarini
Jonas Mushi na Ruth Mnkeni, Dar es salaam
JESHI la Polisi limewakamata watumishi 12 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwachunguza kuhusu wizi na utoroshaji wa makontena 329 katika bandari ya Dar es Salaam.
Saba kati yao wanatoka TRA ambao walisimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Wengine wanatoka taasisi nyingine za serikali ambazo polisi hawakutaka kuzitaja hadi wakamilishe uchunguzi dhidi yao.
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Diwani Athumani alisema jana...
9 years ago
Michuzi
10 years ago
Habarileo21 Mar
Mfumo himaya moja ya Forodha warahisisha utendaji bandarini
MFUMO wa Himaya moja ya Forodha kwa nchi za Afrika Mashariki umeongeza shehena ya mizigo kutoka nchi jirani inayopitishwa katika bandari ya Dar es Salaam, na kuwezesha muda wa kusafirisha bidhaa na kuzifikisha katika nchi husika kupungua kutoka siku saba hadi siku mbili.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10