JK: Deni PSPF kushughulikiwa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/---bE51K8_3E/U7qUL6bXdUI/AAAAAAAFvfI/n_6Wgx5BKTQ/s72-c/kabaka2.jpg)
Mh. Kabaka atembelea Banda la PSPF sabasaba, Mrisho Mpoto ajiunga PSPF
![](http://1.bp.blogspot.com/---bE51K8_3E/U7qUL6bXdUI/AAAAAAAFvfI/n_6Wgx5BKTQ/s1600/kabaka2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fRv0WBo_i3A/U7qULyeau0I/AAAAAAAFvfU/S2GE4yKx6lM/s1600/RISHO+mPOTOZ.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Watendaji Buhigwe kushughulikiwa
SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mawakili wa Ponda kushughulikiwa
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Watumishi wanaofuja mali kushughulikiwa
SERIKALI itaendelea kuchukua hatua za kinidhamu na kisheria kwa watumishi wanaondelea kufuja mali za umma kinyume cha taratibu zilizopo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Mawakala waliouza mbegu zisizoota kushughulikiwa
WAMILIKI na mawakala wa makampuni yaliyouza mbegu za pamba kwa wakulima wilayani Igunga, Tabora wapo mbioni kufikishwa katika vyombo vya sheria kutokana na madai ya kuwauzia wananchi mbegu zisizoota. Kauli...
9 years ago
StarTV06 Jan
Sekta za ardhi, utawala zatakiwa kushughulikiwa
Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Manyara kimesema katika utekelezaji wa ilani yake kwa kipindi hiki cha Serikali ya awamu ya tano, changamoto kubwa zinazotakiwa kushughulikiwa ziko katika sekta za ardhi na utawala ambazo ndizo zinazolalamikiwa zaidi na wananchi.
Maeneo hayo yanadaiwa kuwa ndiyo kero kubwa zinazochangia wananchi kuiona Serikali haiwathamini.
Kasi hiyo kwa mjibu wa wataalamu inachangia kuwepo kwa changamoto kubwa hasa katika mpango wa matumizi bora ya ardhi yanayoibua...