Mawakala waliouza mbegu zisizoota kushughulikiwa
WAMILIKI na mawakala wa makampuni yaliyouza mbegu za pamba kwa wakulima wilayani Igunga, Tabora wapo mbioni kufikishwa katika vyombo vya sheria kutokana na madai ya kuwauzia wananchi mbegu zisizoota. Kauli...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Waliouza mchezo kushitakiwa,Hispania
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Mbunge: Waliouza viwanja mabondeni wakamatwe
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Mwita Waitara (Chadema), ameitaka Serikali kuanza kuwachukulia hatua wale wote waliowauzia viwanja wananchi wa mabondeni, kwani hao ndio chanzo cha ujenzi wa makazi katika mikondo ya maji.
Pia ameitaka Serikali kuwachukulia hatua watendaji wa Halmashauri ya Ilala kwa kuwabomolea wananchi wanaoishi katika Bonde la Mto Msimbazi bila kuwapa notisi ya kujiandaa kuhama.
“Halmashauri hiyo kuna mapele makubwa ambayo...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Watendaji Buhigwe kushughulikiwa
SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mawakili wa Ponda kushughulikiwa
9 years ago
Habarileo17 Sep
JK: Deni PSPF kushughulikiwa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Watumishi wanaofuja mali kushughulikiwa
SERIKALI itaendelea kuchukua hatua za kinidhamu na kisheria kwa watumishi wanaondelea kufuja mali za umma kinyume cha taratibu zilizopo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri...
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa