Mbunge: Waliouza viwanja mabondeni wakamatwe
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Mwita Waitara (Chadema), ameitaka Serikali kuanza kuwachukulia hatua wale wote waliowauzia viwanja wananchi wa mabondeni, kwani hao ndio chanzo cha ujenzi wa makazi katika mikondo ya maji.
Pia ameitaka Serikali kuwachukulia hatua watendaji wa Halmashauri ya Ilala kwa kuwabomolea wananchi wanaoishi katika Bonde la Mto Msimbazi bila kuwapa notisi ya kujiandaa kuhama.
“Halmashauri hiyo kuna mapele makubwa ambayo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Mbunge ataka wauza nyavu wakamatwe
MBUNGE wa Bukoba Vijijini, Jason Rweikiza (CCM), ameitaka serikali kueleza sababu za kuwakamata wavuvi wanaotumia nyavu za macho madogo badala ya kuwakamata wauzaji wa nyavu hizo. Alitaka kujua hayo bungeni...
10 years ago
Vijimambo
Mbunge ataka waliojenga mabondeni wasaidiwe

Kaihula alisema kuwaondoa wakazi hao kwa ajili ya tahadhari ya mafuriko ni jambo zuri, lakini kwa kuwa wakazi hao wanaishi kihalali katika maeneo hayo, wanatakiwa kuandaliwa eneo mbadala.
Akizungumza na wakazi wa Jangawani jijini Dar es Salaam juzi, Kaihula alisema wakati...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Waliouza mchezo kushitakiwa,Hispania
11 years ago
Vijimambo
MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE ALIPOUNGURUMA VIWANJA VYA FURAHISHA MWANZA JANA


11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Mawakala waliouza mbegu zisizoota kushughulikiwa
WAMILIKI na mawakala wa makampuni yaliyouza mbegu za pamba kwa wakulima wilayani Igunga, Tabora wapo mbioni kufikishwa katika vyombo vya sheria kutokana na madai ya kuwauzia wananchi mbegu zisizoota. Kauli...
10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE, MAKAMU WAKE DKT. BILAL WAWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA, VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR


10 years ago
Michuzi
RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM


10 years ago
Vijimambo
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAKAMU WAKE DKT. BILAL WAWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA, VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR



11 years ago
Habarileo28 Feb
RC- Waliosababisha hasara bil. 4/- wakamatwe
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, ameishauri Serikali Kuu ishughulikie wataalamu waliosababisha hasara ya Sh bilioni nne, kwa kuelekeza uchimbaji wa visima nane vyenye maji yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu.