Watendaji Buhigwe kushughulikiwa
SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziVodacom yawaunganisha Buhigwe kwenye mtandao wa simu za mkononi
10 years ago
Michuzi
DK. MAGUFULI AKIENDELEA NA KAMPENI WILAYANI BUHIGWE,MANYOVU KIGOMA LEO



5 years ago
Michuzi
WANANCHI BUHIGWE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KUWEKA UMEME KWA SHILINGI 27 ELFU
Na Editha Karlo,Buhigwe.
WANANCHI wa Wilayani Buhigwe Mkoani hapa wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekaji umeme katika nyumba zao kwa sh.27,000 kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA).
Akizungumza leo na wananchi walipotembelea vijiji vya Munzeze, Kishanga, Kinazi na kimara vilivyopo wilayani humo, wakati akitoa elimu ya mradi wa REA kwa wananchi, Afisa masoko kutoka Shirika la Umeme Tanzania, makao makuu Dar Es Salaam, Neema Mbuja amesema wananchi waache kujiunganishia umeme bila...
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE NDANI YA WILAYA KASULU,BUHIGWE NA KIBONDO MKOANI KIGOMA LEO




10 years ago
Habarileo17 Sep
JK: Deni PSPF kushughulikiwa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mawakili wa Ponda kushughulikiwa
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Watumishi wanaofuja mali kushughulikiwa
SERIKALI itaendelea kuchukua hatua za kinidhamu na kisheria kwa watumishi wanaondelea kufuja mali za umma kinyume cha taratibu zilizopo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri...
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa