Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watendaji Buhigwe kushughulikiwa

SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Vodacom yawaunganisha Buhigwe kwenye mtandao wa simu za mkononi

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Charles Gishuli akiuzindua rasmi mnara wa Vodacom kuashiria kuanza kupatikana huduma za kampuni hiyo ya simu nchini katika kijiji cha Bukuba kilichopo Buhigwe mkoani Kigoma. Pembeni yake ni Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim. Wengine ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo Malcelina Mbehoma na Mwenyekiti wa Halmashauri Abel Kabona. Vodacom inaendeleza mkakati wake wa kuwaunganisha watanzania wa vijijini na huduma za mawasiliano ya simu za...

 

10 years ago

Michuzi

DK. MAGUFULI AKIENDELEA NA KAMPENI WILAYANI BUHIGWE,MANYOVU KIGOMA LEO

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Pombe Magufuli akizungumza na wakazi wa wilaya ya Buhigwe, mkoani Kigoma leo akiowaomba wananchi hao ridhaa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wananchi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Pombe Magufuli wilaya ya Buhigwe, mkoani Kigoma leo.Wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni za Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Pombe Magufuli...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI BUHIGWE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KUWEKA UMEME KWA SHILINGI 27 ELFU



Na Editha Karlo,Buhigwe.
WANANCHI wa Wilayani Buhigwe Mkoani hapa wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekaji umeme katika nyumba zao kwa sh.27,000 kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA).

Akizungumza leo na wananchi walipotembelea vijiji vya Munzeze, Kishanga, Kinazi na kimara vilivyopo wilayani humo, wakati akitoa elimu ya mradi wa REA kwa wananchi, Afisa masoko kutoka Shirika la Umeme Tanzania, makao makuu Dar Es Salaam, Neema Mbuja amesema wananchi waache kujiunganishia umeme bila...

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE NDANI YA WILAYA KASULU,BUHIGWE NA KIBONDO MKOANI KIGOMA LEO

  Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akipanda ngazi kwa kukimbia kwenda jukwaani kujinadi kwa wananchi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Taifa mjini Kibondo, Kigoma
Wananchi wa Kasulua wakifuatilia mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Umoja  Kasulu, Kigoma,ambapo Mgombea Urais wa CCM Dk Magufuli aliwahutubia.
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Joseph Magufuli akiwahutubia wananchi wa Kibondo ndani ya uwanja wa Taifa mkoani Kigoma ...

 

10 years ago

Habarileo

JK: Deni PSPF kushughulikiwa

RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawakili wa Ponda kushughulikiwa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuomba kufutiwa shtaka la kukiuka uamuzi wa mahakama.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa

Uongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania, umetangaza kuwachukulia hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha wachungaji na wajumbe wote wa halmashauri kuu watakaondelea kukiuka uamuzi wa mkutano mkuu uliofanya mabadiliko ya uongozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi wanaofuja mali kushughulikiwa

SERIKALI itaendelea kuchukua hatua za kinidhamu na kisheria kwa watumishi wanaondelea kufuja mali za umma kinyume cha taratibu zilizopo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri...

 

10 years ago

BBCSwahili

UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa

Umoja wa mataifa umeelezea masikitiko jinsi mataifa ya bara Ulaya yanavyozingatia sheria zinazohusiana na mipaka yake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani