Siro Atoa Ushahidi Kesi ya Profesa Lipumba
![](http://1.bp.blogspot.com/-YJtE7octW-c/VXpWU4eLqbI/AAAAAAAAfIA/qgNk-agjHow/s72-c/1.jpg)
MKUU wa Operesheni Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Simon Siro (54) ametoa ushahidi katika kesi inayowakabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30 na kudai mkutano huo ulipigwa marufuku kutokana na taarifa za intelijensia za kuwapo kwa tishio la ugaidi.Siro aliyaeleza hayo juzi mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Cyprian Mkeha, akiwa shahidi wa upande wa mashtaka.
Alidai Januari 23 mwaka huu walipokea barua ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Siro atoa ushahidi kesi ya Profesa Lipumba
Na Grace Shitundu, Dar es Salaam
MKUU wa Operesheni Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Simon Siro (54) ametoa ushahidi katika kesi inayowakabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30 na kudai mkutano huo ulipigwa marufuku kutokana na taarifa za intelijensia za kuwapo kwa tishio la ugaidi.
Siro aliyaeleza hayo jana mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Cyprian Mkeha, akiwa shahidi wa upande wa mashtaka.
Alidai Januari 23...
10 years ago
MichuziKAMANDA SIRO ATOA USHAHIDI WAKE KATIKA KESI YA MH. MDEE NA WENZAKE
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeambiwa na Naibu Kamishna wa Polisi, Kamanda Simon Siro (54), ambaye amedai mahakamani kwamba alitoa zuio la kuandamana kwenda Ikulu kwa Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) kwa sababu maandamano hayo yangesababisha uvunjifu wa amani.
Alitoa madai hayo, wakati akitoa ushahidi dhidi ya Mbunge Halima Mdee na wenzake, kwamba baada ya kupitia vigezo vya kiusalama, njia...
10 years ago
Vijimambo28 Feb
Mbowe atoa ushahidi kesi ya shambulio.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbowe-28Feb2015.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (53), anayekabiliwa na kesi ya shambulio dhidi ya mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, ameileza mahakama kwamba alilazimika kumtoa nje kwa nguvu nje ya kituo cha kura, Nasir Uronu, kwa madai kuwa alikuwa na utambulisho bandia ambao hautambuliki na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) isipokuwa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata).
Akitoa...
10 years ago
Mtanzania10 Feb
Kamanda Shilogile atoa ushahidi kesi ya Ponda
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
ALIYEKUWA Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustin Shilogile, amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Morogoro kutoa ushahidi dhidi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda Issa.
Shilogile alipanda kizimbani jana ambako katika kutoa ushahidi wake aliongozwa na wakili wa serikali, Juma Nosor.
Akimuongoza Shilogile katika kutoa ushahidi wake, Nasoro alianza kwa kumuhoji: Umekuja mahakamani kufanya nini leo...
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Shahidi wa tatu kesi ya Ponda atoa ushahidi
10 years ago
Vijimambo13 May
INSPEKTA WA POLISI ATOA USHAHIDI KESI YA ALBINO MWANZA
SHAHIDI wa sita katika kesi ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Mkaguzi wa Polisi (Inspector) David Mhanaya, ameanza kutoa ushahidi wake leo hii katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza.
Mbele ya Jaji Robert Makaramba anayesikiliza Shauri hilo namba 213 la mwaka 2014, shahidi huyo ametumia siku nzima kutoa ushahidi wake akiongozwa na mawakili wa serikali Emil Kiria, Esther Majaliwa na Robert Kilando.
Hata hivyo, Jaji Makaramba aliahirisha kesi hiyo hadi...
10 years ago
GPLFLORA ATOA USHAHIDI KESI YA MBASHA KWA SIRI
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Mnyika atoa ushahidi kesi ubunge Afrika Mashariki
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema kuna hatari Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutumia wingi wake kuendelea kuikomoa kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa kuchagua wabunge wa Bunge la Afrika...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi