Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Hai kuwa Abeid Adam Abeid (22) aliyejifanya ni Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta, alijitambulisha kwake ni Ofisa wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Ulanga Abeid Kibasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa (kushoto) akizungumza na Abeid Adam Abeid nje ya Mahakama ya Wilaya ya Hai jana. Picha na Dionis Nyato
Hai. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Hai kuwa Abeid Adam Abeid (22) aliyejifanya ni Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta, alijitambulisha kwake ni Ofisa wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Ulanga Abeid Kibasa.

Dk Slaa ambaye ni shahidi wa nane wa upande wa mashitaka, alitoa ushahidi huo...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbowe atoa ushahidi kesi ya shambulio.


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (53), anayekabiliwa na kesi ya shambulio dhidi ya mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, ameileza mahakama kwamba alilazimika kumtoa nje kwa nguvu nje ya kituo cha kura, Nasir Uronu, kwa madai kuwa alikuwa na utambulisho bandia ambao hautambuliki na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) isipokuwa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata).

Akitoa...

 

5 years ago

Michuzi

MASHAHIDI 28 KUTOA USHAHIDI KATIKA KESI INAYOMKABILI MTUHUMIWA ANAYEDAIWA KUMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA NA MAGUNIA MAWILI YA MKAA

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV .
JUMLA ya mashahidi 28 akiwemo Mtaalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Hadija Mwema wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said Luongo (38) anayedaiwa kumuua mke wake kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa.
Mbali na mashahidi hao, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) atawasilisha mahakamani hapo vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio la mauaji, maelezo ya onyo ya mshitakiwa, ungamo la mshitakiwa kwa mlinzi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Kamanda Shilogile atoa ushahidi kesi ya Ponda

ponda1Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
ALIYEKUWA Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustin Shilogile, amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Morogoro kutoa ushahidi dhidi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda Issa.
Shilogile alipanda kizimbani jana ambako katika kutoa ushahidi wake aliongozwa na wakili wa serikali, Juma Nosor.
Akimuongoza Shilogile katika kutoa ushahidi wake, Nasoro alianza kwa kumuhoji: Umekuja mahakamani kufanya nini leo...

 

10 years ago

Vijimambo

Siro Atoa Ushahidi Kesi ya Profesa Lipumba


MKUU wa Operesheni Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Simon Siro (54) ametoa ushahidi katika kesi inayowakabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30 na kudai mkutano huo ulipigwa marufuku kutokana na taarifa za intelijensia za kuwapo kwa tishio la ugaidi.Siro aliyaeleza hayo juzi mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Cyprian Mkeha, akiwa shahidi wa upande wa mashtaka.

Alidai Januari 23 mwaka huu walipokea barua ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Shahidi wa tatu kesi ya Ponda atoa ushahidi

Shahidi watatu katika kesi inayomkabili Kiongozi wa jumuiya na taasisi za kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda ametoa ushahidi wake katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro huku mawakili wa upande wa mashtaka na upande wa utetezi wakisigana kwenye kifungu cha 150 hadi 152 cha sheria ya ushahidi.

 

10 years ago

Mtanzania

Siro atoa ushahidi kesi ya Profesa Lipumba

Kamanda+Simon+SiroNa Grace Shitundu, Dar es Salaam

MKUU wa Operesheni Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Simon Siro (54) ametoa ushahidi katika kesi inayowakabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30 na kudai mkutano huo ulipigwa marufuku kutokana na taarifa za intelijensia za kuwapo kwa tishio la ugaidi.

Siro aliyaeleza hayo jana mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Cyprian Mkeha, akiwa shahidi wa upande wa mashtaka.

Alidai Januari 23...

 

10 years ago

GPL

FLORA ATOA USHAHIDI KESI YA MBASHA KWA SIRI

Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, akiwa na mume wake, Emmanuel Mbasha. KESI ya kudaiwa kumbaka shemeji yake inayomkabili mfanyabiashara na mwimba Injili Bongo, Emmanuel Mbasha imeendelea kuunguruma leo katika Mahakama ya Ilala jijini Dar ambapo mkewe Flora alifika na kutoa ushahidi kwa siri. Kesi hiyo ilianza kuunguruma kwenye ofisi ya hakimu (Chamber), mishale ya saa 5 hadi saa 8 mchana mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika atoa ushahidi kesi ubunge Afrika Mashariki

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema kuna hatari Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutumia wingi wake kuendelea kuikomoa kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa kuchagua wabunge wa Bunge la Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani