Mramba apunguza shahidi mmoja
WAZIRI wa Fedha wa zamani, Basil Mramba, anayekabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha hasara ya sh bilioni 11.7, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Jun
USHAHIDI WA SHAHIDI WA MRAMBA WAFUTWA
MAWAKILI wa utetezi wa Waziri wa Fedha wa zamani, Basil Mramba, wameondoa mahakamani ushahidi wa Kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Felician Busigara, baada ya kuzua mvutano kati ya mawakili wa pande zote mbili kwamba ushahidi wa shahidi huo ulikuwa wa kitaalamu na siyo dhidi ya mashitaka yaliyopo mahakamani. Mbali na Mramba, washtakiwa wengine ni Waziri wa Zamani, Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
5 years ago
CCM Blog16 Feb
RAIS WA SUDAN KUSINI ATEKELEZA TAKWA LA UPINZANI, APUNGUZA IDADI YA MAJIMBO
![Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimbo](https://media.parstoday.com/image/4bsof1e02e4df41k1yw_800C450.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xoQXWVIpRpY/XktoH8kC9BI/AAAAAAALd1I/kQKnZTnPAywY5uYag-0CVfIuEkWYRhVIQCLcBGAsYHQ/s72-c/_107994035_a37f7533-7ca0-4c0d-970d-aa214be4a5e0.jpg)
Rais wa Sudan kusini Salva Kiir apunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10
![](https://1.bp.blogspot.com/-xoQXWVIpRpY/XktoH8kC9BI/AAAAAAALd1I/kQKnZTnPAywY5uYag-0CVfIuEkWYRhVIQCLcBGAsYHQ/s640/_107994035_a37f7533-7ca0-4c0d-970d-aa214be4a5e0.jpg)
Kiongozi wa upinzani ambaye pia ni makamu wa rais wa zamani Daktari Riek Machar amekaribisha tanganzo hilo la bwana Kiir na kusema ni hatua muhimu katika mchakato wa kuleta amani ya kudumu katika taifa hilo changa duniani ambalo limezongwa na mapigano ya umwakigaji damu ya wenyewe kwa wenyewe.
Siku ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vFrhOHBMvXE/Xtj2JPPH9dI/AAAAAAALsoY/9MX4lQk1ONIMjPoJ_uhDDF3vd_iLtZPtwCLcBGAsYHQ/s72-c/b52d1324-d326-4b35-bd3b-4a7d82bc1cc0.jpg)
UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA
Na WAMJW-Dodoma
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.
Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...
10 years ago
Habarileo28 May
Serikali kujenga barabara za mkoa mmoja mmoja
SERIKALI imesema baada ya kukamilisha ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa mbalimbali nchini, itashughulikia barabara za mkoa mmoja mmoja.
9 years ago
StarTV07 Nov
Mlinzi mmoja afariki, mmoja ajeruhiwa Geita
Walinzi wawili wanaolinda katika baa ya Wacha Waseme na Lunguya mjini Geita wamejeruhiwa na vitu vyenye ncha kali ambavyo vimesababisha kifo cha mlinzi mmojawapo.
Mlinzi huyo aliyejulikana kwa jina moja la Michael amefariki dunia baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Geita.
Tukio hilo limejiri majira ya usiku wakati walinzi hao wakiwa wamelala katika lindo ambapo watu wasiojulikana wanadaiwa kuvamia na kuwashambulia na kuvinjwa katika baa ya lunguye na kuiba shilingi elfu tisini...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s72-c/tt.jpg)
MAJAMBAZI YAUA BINTI MMOJA NA KUJERUHI MMOJA KATIKA TUKIO LA UPORAJI LILILOTOKEA LEO ASUBUHI YOMBO VITUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s1600/tt.jpg)
Majambazi wawili waliokuwa na pikipiki wamuua Binti mmoja aliyefahamika kwa jina...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Je,shahidi wa ICC aliyeuawa ni nani?
11 years ago
Habarileo17 Jul
Shahidi aeleza watuhumiwa walivyokamatwa
SHAHIDI wa tatu wa kesi ya wizi wa simu za thamani ya Sh milioni 19.4 inayowakabili wafanyakazi sita wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala kuwa aliwakamata watuhumiwa hao kwa nyakati tofauti.