Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshitakiwa kesi ya Papaa Msofe alalamika

MSHITAKIWA wa kesi ya mauaji, Makongoro Nyerere anayeshitakiwa pamoja na mfanyabiashara maarufu Marijan Abubakar ‘Papaa Msofe’, amedai kuwa upande wa Jamhuri unawakomesha kwa kuwa kesi ni ya muda mrefu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PAPAA MSOFE AUGUA, ASHINDWA KUFIKA MAHAKAMANI, KESI YAKE YAAHIRISHWA

Papaa Msofe akiingia chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. (Picha na Maktaba yetu) MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papaa Msofe leo ameshindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kusikiliza…

 

9 years ago

Mtanzania

Mahakama yamgomea papaa Msofe

papaaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeacha kwa muda kusikiliza kesi ya kughushi hati ya umiliki wa nyumba inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar, maarufu kama Papaa Msofe (50).

Mahakama hiyo iligoma kuifuta kesi hiyo jana katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mkazi, Renatus Rutta baada ya kupitia hoja zilizowasilishwa na pande mbili zinazopingana.

Wakili wa utetezi, Majura Magafu aliwasilisha hoja katika mahakama hiyo akidai kwamba mteja wake anakabiliwa na...

 

9 years ago

Global Publishers

Papaa Msofe, Alex Massawe wahukumiwa

DSC_7466Papaa Msofe akiwa chini ya ulinzi wa polisi.

Deogratius Mongela na Chande Abdallah, Uwazi
DAR ES SALAAM: Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, imetoa hukumu kwa mfanyabiashara Marijani Abubakar, almaarufu Papaa Msofe, Alex Massawe na Makongoro Nyerere kwa kosa la kughushi hati ya umiliki wa nyumba iliyopo Mikocheni jijini Dar, mali ya marehemu Onesphory Kituly aliyeuawa kwa kupigwa risasi na majambazi mwaka 2011.

Kesi hiyo iliyonguruma kwa takribani miaka saba tangu 2007, ilifikia tamati Desemba...

 

10 years ago

Vijimambo

PAPAA MSOFE NA MAKONGORO WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Papaa Msofe (katikati) akishuka ngazi za Mahakama ya Kisutu. (Picha na maktaba yetu).

MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe na mwenzake, Makongoro Joseph, wameendelea kusota rumande kutokana na kile kinachoelezwa kuwa upelelezi bado haujakamilika.
Kesi ya watuhumiwa hao wawili imetajwa leo na mwendesha mashitaka wa serikali, Bi Hellen Moshi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen Liwa.
Msofe...

 

10 years ago

Daily News

State seeks more time in Papaa Msofe murder case


State seeks more time in Papaa Msofe murder case
Daily News
THE prosecution has requested the Kutu Resident Magtrate's Court in Dar es Salaam to grant it more time to complete investigation into the murder trial of two prominent businessmen, Makongoro Joseph Nyerere and Marijani Abubakar, alias Papaa Msofe.

 

9 years ago

IPPmedia

Court dismisses defence objection in 'Papaa Msofe' forgery case


Court dismisses defence objection in 'Papaa Msofe' forgery case
IPPmedia
Dar es salaam Kisutu Resident Magistrate's Court has dismissed the preliminary objection, raised by the defence side in the forgery case facing a prominent businessman Abubakar Marijani Msofe alias Papaa Msofe. Papaa Msofe is seeking the court to stop ...

 

10 years ago

Daily News

State told to complete probe into Papaa Msofe murder case


State told to complete probe into Papaa Msofe murder case
Daily News
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam has ordered the prosecution to complete investigation into the murder case involving two prominent businessmen, Makongoro Joseph Nyerere and Marijani Abubakar, alias Papaa Msofe, saying it has ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata

MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...

 

10 years ago

GPL

KESI YA MSOFE NA MWENZAKE YAAHIRISHWA

KESI ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuahirishwa hadi Oktoba 13 mwaka huu kutokana na uchunguzi kutokamilika.  Msofe na Makongoro wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya Onesphory Kitoli. Kesi hiyo imetajwa chini ya  Hakimu Mkazi Hellen Riwa  Papa Msofe (katikati) akishuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani