Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAPAA MSOFE NA MAKONGORO WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Papaa Msofe (katikati) akishuka ngazi za Mahakama ya Kisutu. (Picha na maktaba yetu).

MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe na mwenzake, Makongoro Joseph, wameendelea kusota rumande kutokana na kile kinachoelezwa kuwa upelelezi bado haujakamilika.
Kesi ya watuhumiwa hao wawili imetajwa leo na mwendesha mashitaka wa serikali, Bi Hellen Moshi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen Liwa.
Msofe...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PAPA MSOFE, MAKONGORO WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Papa Msofe (katikati) akishuka ngazi za Mahakama ya Kisutu. (Picha na maktaba yetu) Na Haruni Sanchawa / GPL MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe na mwenzake, Makongoro Joseph, wameendelea kusota rumande kutokana na kile kinachoelezwa ni upelelezi kusubiriwa ukamilike.  Kesi ya watuhumiwa hao wawili imetajwa leo na mwendesha mashitaka wa serikali, Hellen Moshi katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Msofe aendelea kusota rumande

>Mfanyabiashara anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia, Marijan Abubakar, maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake, Makongoro Joseph, wanaendelea kusota rumande kwa takriban mwaka mmoja sasa kutokana na kile kinachelezwa ni upelelezi kusubiriwa ukamilike.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliomuua Dk Mvungi waendelea kusota rumande

Jalada la kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi bado lipo kwa Mkuu wa Upelelezi wa kesi hiyo (RCO).

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Vigogo Manispaa Kinondoni waendelea kusota rumande


NA MWANDISHI WETU
VIGOGO watatu wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, waliokamatwa kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa, wanaendelea kushikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Vigogo wanaoshikiliwa ni Mhandisi wa manispaa hiyo, Baraka Mkuya, Mkaguzi Mkuu wa Majengo aliyetajwa kwa jina moja la Christopher na Ofisa Mtendaji wa Kata ya Msasani aliyefahamika kwa jina la Mushi.
Ofisa Uhusiano wa TAKUKURU, Doreen Kapwani, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa vigogo...

 

10 years ago

GPL

HALIMA MDEE NA WENZAKE WAENDELEA KUSOTA RUMANDE

Mdee (wa nne kulia) na watuhumiwa wenzake wakielekea mahakamani. Watuhumiwa wakishuka chumba cha mahakama.…

 

9 years ago

Mtanzania

Mahakama yamgomea papaa Msofe

papaaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeacha kwa muda kusikiliza kesi ya kughushi hati ya umiliki wa nyumba inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar, maarufu kama Papaa Msofe (50).

Mahakama hiyo iligoma kuifuta kesi hiyo jana katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mkazi, Renatus Rutta baada ya kupitia hoja zilizowasilishwa na pande mbili zinazopingana.

Wakili wa utetezi, Majura Magafu aliwasilisha hoja katika mahakama hiyo akidai kwamba mteja wake anakabiliwa na...

 

9 years ago

Global Publishers

Papaa Msofe, Alex Massawe wahukumiwa

DSC_7466Papaa Msofe akiwa chini ya ulinzi wa polisi.

Deogratius Mongela na Chande Abdallah, Uwazi
DAR ES SALAAM: Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, imetoa hukumu kwa mfanyabiashara Marijani Abubakar, almaarufu Papaa Msofe, Alex Massawe na Makongoro Nyerere kwa kosa la kughushi hati ya umiliki wa nyumba iliyopo Mikocheni jijini Dar, mali ya marehemu Onesphory Kituly aliyeuawa kwa kupigwa risasi na majambazi mwaka 2011.

Kesi hiyo iliyonguruma kwa takribani miaka saba tangu 2007, ilifikia tamati Desemba...

 

11 years ago

Habarileo

Mshitakiwa kesi ya Papaa Msofe alalamika

MSHITAKIWA wa kesi ya mauaji, Makongoro Nyerere anayeshitakiwa pamoja na mfanyabiashara maarufu Marijan Abubakar ‘Papaa Msofe’, amedai kuwa upande wa Jamhuri unawakomesha kwa kuwa kesi ni ya muda mrefu.

 

10 years ago

Daily News

State seeks more time in Papaa Msofe murder case


State seeks more time in Papaa Msofe murder case
Daily News
THE prosecution has requested the Kutu Resident Magtrate's Court in Dar es Salaam to grant it more time to complete investigation into the murder trial of two prominent businessmen, Makongoro Joseph Nyerere and Marijani Abubakar, alias Papaa Msofe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani