Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Waazimia kuwawajibisha watumishi wanaokula njama na wakwepa ushuru

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi limeazimia kuzitumia kanuni za utumishi wa umma zinaoelezea adhabu inyaotolewa kwa watumishi ambao hawawajibiki ipasavyo kwa mwajiri wao katika kuhakikisha wanakusanya ushuru kwenye maeneo yao waliyopangiwa na hatimae kuongeza mapato ya halmashauri hiyo iliyopo Mkoani Rukwa

Kauli hiyo imetolewa na kaimu mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mh. Steven Kayogolo wakati akifunga baraza hilo la robo ya pili ya mwaka wa fedha 2019/2020 na kuongeza kuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Waziri Mpango aapa kuwawajibisha wakwepa kodi

Waziri wa Fedha Dokta Philip Mpango amesema hatakubali kuona ama kuendelea kuwafumbia macho watu watakaobainika kuitumia Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kama pango la kujinufaisha kiuchumi.

Sambamba na hilo, Serikali imeandaa mazingira rafiki ya mifumo ya ukusanyaji mapato ikiwa ni pamoja na kuondoa ushuru kwa Wafanyabiashara ndogo ndogo na badala yake itajikita kwa wafanyabiashara wakubwa.

Waziri wa Fedha, Dk Philip Mpango ameeleza mikakati yake kama sehemu ya kufanikisha adhima ya Serikali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Hai watimua watumishi watano

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Hai, limefikia uamuzi wa kufukuzisha kazi  watumishi wake watano kwa kosa la utoro kazini. Maazimio ya kufukuzwa kazi kwa watendaji hao yalifikiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani, watumishi wavutana kuhusu Tasaf

Baadhi ya watumishi na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, mkoani Shinyanga, wameonyesha wasiwasi wao juu ya utekelezaji miradi ya Mpango wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf III), kutokana na kushindwa kukamilisha miradi ya awamu iliyopita na kuacha viporo.

 

9 years ago

StarTV

Mgawanyo Wa Mali, Watumishi Madiwani Ulanga na Malinyi wavutana

 

Mvutano mkali umezuka baina ya madiwani wa Halmashauri ya Ulanga na wale wa Halmashauri mpya ya Malinyi baada ya Madiwani wa Malinyi kutaka kupewa muongozo na kufahamishwa juu ya mgawanyo wa mali na watumishi utakaofanyika katika halmashauri hizo.

Mjadala huo umetokea mara baada ya mkurungezi wa Ulanga kusoma taarifa ya utekelezaji wa kipindi cha miezi sita ambacho madiwani hao hawakuwepo ndipo wakaanza kuhoji ni kwa nini hakuna taarifa ya mgawanyo huo hatua iliyomlazimu mkuu wa Mkoa...

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake



Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.


Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.

Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...

 

11 years ago

GPL

INJINIA MANYANYA: SITASITA KUWAONDOA WATUMISHI, WAKUU WA IDARA WANAOWACHONGANISHA MADIWANI NA MKURUGENZI WAO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kilichofanyika jana tarehe 25 Januari 2014 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo uliopo Sumbawanga Mjini.  Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Methew Sedoyyeka akizungumza katika kikao…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wananchi Kuwawajibisha viongozi

Mjadala kuhusu uwezo wa wananchi katika kuwawajibisha viongozi wao hasa wa serikali za mitaa

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakyembe aapa kuwawajibisha TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameahidi kuichukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu bodi ya zabuni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) baada ya kubainika ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya mabehewa ya kubebea kokoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani