Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi aapa ‘kutumbua majipu’

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, John Aloyce amesema amejipanga kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa wafanyakazi wa halmashauri hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mwenyekiti aapa kutumbua majipu

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Isack Mahela, amesema atafuata nyayo za Rais John Magufuli, ili ayatumbue majipu yote yaliyoko katika halmashauri hiyo, ambayo yamekuwa yakitafuna fedha za miradi ya maendeleo bila aibu.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi ‘yawatumbua majipu’ trafiki, yabadili mfumo

Jeshi la Polisi limefanya mabadiliko kadhaa katika Kikosi cha Usalama Barabarani kwa kuwahamisha baadhi ya askari wake huku wengine wakishushwa vyeo au kuachishwa kazi kutokana na makosa mbalimbali makubwa yakiwa malalamiko ya kuwaonea wananchi, rushwa na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara.

 

9 years ago

MillardAyo

Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)

Alhamisi January 07 2016 imeanza na huu uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini, hizi ni baadhi yake na sauti niliyokurekodia. Oparesheni ya kutimua wageni wasio na vibali kuanza leo, bomoabomoa Dar kuathiri watu 200,000 ambao watakosa makazi ya kuishi… Rais Magufuli ajifungia miezi miwili Ikulu bila kusafiri, atumbua vigogo Serikalini. Serikali yapinga nauli za mabasi […]

The post Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)...

 

9 years ago

Habarileo

Mawaziri wacharuka kutumbua majipu

MAWAZIRI wa Serikali ya Awamu ya Tano wakiongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wameendelea kuzuru maeneo mbalimbali nchini wakitoa matamko mazito sanjari na kuendelea ‘kutumbua majipu’ .

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga yatamba kutumbua majipu

image17NA ADAM MKWEPU

UONGOZI wa Yanga umetamba kuendelea kutumbua majipu katika Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuhakikisha wanashinda michezo yake mbalimbali ya ligi hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,  Ofisa Habari wa Yanga, Jerry Muro, alisema kuwa  wamejiandaa kupata ushindi dhidi ya Stand United katika mchezo wao utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, licha ya ‘figisufigisu’ wanazoendelea kufanyiwa na  wapinzani wao.

“Tutaendelea kutumbua majipu, licha ya...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aendelea kutumbua majipu

RAIS John Magufuli ameendelea kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali yenye harufu ya ufisadi, ambapo safari hii ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Shaaban Mwinjaka kwa ajili ya kupisha uchunguzi dhidi ya matumizi mabaya ya kiasi cha Sh bilioni 13 katika Shirika la Reli Tanzania (TRL).

 

9 years ago

Mtanzania

Mawaziri wazidi kutumbua majipu

magufuliNA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KASI ya utendaji kazi wa mawaziri wa Rais Dk. John Magufuli, imezidi kukolea baada ya mawaziri wawili kwa nyakati tofauti kuwasimamisha kazi vigogo walio chini yao kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

Uamuzi wa kwanza umechukuliwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe ambaye jana alimsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Mohamed Kilongo kwa kushindwa kutimiza wajibu...

 

9 years ago

Mwananchi

Changamoto za Rais Magufuli ‘kutumbua jipu’

Ijumaa wiki iliyopita, Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli alihutubia Bunge la Kumi na Moja ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu aliposhika wadhifa huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mchagueni Lema amsaidie JPM kutumbua majipu

Mawaziri wakuu wastaafu, Edward Lowassa na Fredrick Sumaye, wamewataka wakazi wa Jiji la Arusha kumchagua Godbless Lema kuwa mbunge, kwani ndiye anaweza kumsaidia Rais John Magufuli kutumbua majipu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani