Polisi ‘yawatumbua majipu’ trafiki, yabadili mfumo
Jeshi la Polisi limefanya mabadiliko kadhaa katika Kikosi cha Usalama Barabarani kwa kuwahamisha baadhi ya askari wake huku wengine wakishushwa vyeo au kuachishwa kazi kutokana na makosa mbalimbali makubwa yakiwa malalamiko ya kuwaonea wananchi, rushwa na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 May
TBF yabadili mfumo Kombe la Muungano
SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), limesema mashindano ya Kombe la Muungano kwa mwaka huu yatafanyika kwa mfumo wa ligi itakayokuwa na timu 16. Mashindano hayo yaliyopangwa kuanza Juni...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Polisi Jamii wapigwa ‘stop’ kufanya kazi ya trafiki
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Shahidi aeleza trafiki feki alivyopata sare za polisi
NA SYLVIA SEBASTIAN
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imeelezwa kuwa mshitakiwa James Hassan (45), anayedaiwa kujifanya askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani, alijipatia kofia na mkanda baada ya kufa kwa baba yake mdogo na kisha kushona sare za kikosi hicho.
Koplo Julius (36), ambaye ni shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri, alidai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma Hassan, alipokuwa akitoa ushahidi.
Akiongozwa na Wakili wa Serikali, Felista Mosha, Koplo Julius alidai Agosti 14,...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?
![](http://2.bp.blogspot.com/-dUXEP5ngMBY/VmvKAQeYLuI/AAAAAAABUYI/cJroCRIVUG4/s640/TRAFIKI%2BAJALI%2B%25285%2529.jpg)
11 years ago
Bongo509 Aug
Picha/Video: Ephraim Kibonde akamatwa na polisi kwa kusababisha ajali na kukaidi amri ya trafiki
9 years ago
Habarileo03 Dec
Mkurugenzi aapa ‘kutumbua majipu’
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, John Aloyce amesema amejipanga kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa wafanyakazi wa halmashauri hiyo.
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)
Alhamisi January 07 2016 imeanza na huu uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini, hizi ni baadhi yake na sauti niliyokurekodia. Oparesheni ya kutimua wageni wasio na vibali kuanza leo, bomoabomoa Dar kuathiri watu 200,000 ambao watakosa makazi ya kuishi… Rais Magufuli ajifungia miezi miwili Ikulu bila kusafiri, atumbua vigogo Serikalini. Serikali yapinga nauli za mabasi […]
The post Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)...
11 years ago
MichuziUbalozi wa Marekani wakabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la Polisi kikosi cha maji nchini