Guardiola arejea Barcelona
Uswisi Ni kama kocha Pep Guardiola amerejeshwa Barcelona kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baina ya Bayern Munich na Barcelona unaoitwa fainali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 May
Guardiola aapa kuinyamazisha Barcelona
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Twitter yamponza Sergi Guardiola Barcelona
5 years ago
Barca Blaugranes21 Feb
Pep Guardiola takes a shot at Barcelona over FFP sanctions
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Barcelona yavunja Mkataba na Guardiola saa moja baada ya kusaini
Sergi Guardiola.
Barcelona, Hispania
KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji Sergi Guardiola saa moja baada ya kumsajili.
Hii imetokea baada ya Sergi Guardiola (hana uhusiano na Pep) kuandika kwenye mtandao wa twitter maneno ambayo yanaonesha kuuchukiza uongozi wa Barca.
Kiungo Guardiola mwenye umri wa miaka 24, kabla ya kujiunga na Barca alikuwa akichezea timu ya Alcorcon inayoshiriki ligi ndogo za Hispania.
Walichokisema...
10 years ago
Mtanzania19 Jan
Guardiola ampigia simu Messi kwa Siri, amshauri asiondoke Barcelona
PEP Guardola amemshauri mshambuliaji Lionel Messi kubakia Barcelona akimtaka nyota huyo wa Argentina kuwa mtulivu na kuonyesha imani kwa mipango ya kocha wake wa sasa, Luis Enrique.
Wiki iliyopita mchezaji huyo aliyewahi kunyakua tuzo ya mchezaji bora wa mwaka mara nne, aliweka wazi kuwa huenda akaondoka Camp Nou baada ya kukiri kuwa hajui atakuwa wapi msimu ujao.
Mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wamekuwa wakihusishwa na mpango wa kumwaga fedha ili kumnasa mchezaji huyo,...
5 years ago
Daily Post Nigeria22 Feb
Champions League: Guardiola hits back at Barcelona for thanking UEFA over ban on Man City
5 years ago
Bleacher Report20 Feb
Pep Guardiola Warns Barcelona 'Don't Talk Too Loud' About Man City FFP Ban
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Pellegrini:''Guardiola hanitishi''
10 years ago
Mtanzania26 Oct
Lahm anogewa na Guardiola
MUNICH, Ujerumani
NAHODHA wa Bayern Munich, Philipp Lahm, amemtaka kocha wa klabu hiyo, Mhispania Pep Guardiola, aongeze mkataba wa kuendelea kukinoa kikosi hicho.
Lahm alikuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kilichoibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Cologne katika mchezo wa Bundersliga uliopigwa kwenye dimba la Allianz Arena mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mkataba wa Guardiola na Bayern utamalizika mwakani, huku kocha huyo akiwa kimya juu ya mustakabali wake baada ya kumalizika kwa mkataba...