Pellegrini:''Guardiola hanitishi''
Mkufunzi wa kilabu ya Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa hana wasiwasi na ripoti zinazomuhusisha mkufunzi wa Bayern Munich Pep Guardiola na kazi yake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Pellegrini amtabiria makubwa Guardiola
MANCHESTER, ENGLAND
KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini, amedai kwamba klabu hiyo inaweza kufanya vizuri zaidi kama watafanikiwa kumchukua kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola.
Hata hivyo, kocha huyo amesema kuwa bado ana nafasi ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika mwaka 2017 japokuwa kuna uvumi wa Guardiola kutua hapo Januari mwakani.
Guardiola amekuwa akiwindwa na klabu nyingi za Ligi Kuu nchini England, lakini Man City wanaonekana kuwa katika hatua...
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Pellegrini ataka mataji manne
10 years ago
BBC
Pellegrini pleased by Toure's form
11 years ago
BBC
Pellegrini never doubted Toure form
11 years ago
BBC
Toure to play in Moscow - Pellegrini
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Pellegrini:''Hatumtegemei Yaya Toure''
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Pellegrini: Aguero atarudi kutamba
11 years ago
BBC
Pellegrini praises midfielder Toure
11 years ago
BBCSwahili28 Feb
Uefa yampiga marufuku Pellegrini