Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pellegrini:''Guardiola hanitishi''

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa hana wasiwasi na ripoti zinazomuhusisha mkufunzi wa Bayern Munich Pep Guardiola na kazi yake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Pellegrini amtabiria makubwa Guardiola

Pep GuardiolaMANCHESTER, ENGLAND

KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini, amedai kwamba klabu hiyo inaweza kufanya vizuri zaidi kama watafanikiwa kumchukua kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola.

Hata hivyo, kocha huyo amesema kuwa bado ana nafasi ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika mwaka 2017 japokuwa kuna uvumi wa Guardiola kutua hapo Januari mwakani.

Guardiola amekuwa akiwindwa na klabu nyingi za Ligi Kuu nchini England, lakini Man City wanaonekana kuwa katika hatua...

 

11 years ago

Mwananchi

Pellegrini ataka mataji manne

>Kocha wa klabu ya Manchester City, Manuel Pellegrini amesema anataka kutwaa mataji katika mashindano yote manne timu yake inayoshiriki katika msimu wake wa kwanza akiinoa klabu hiyo.

 

10 years ago

BBC

Pellegrini pleased by Toure's form

Manchester City midfielder Yaya Toure "is improving every game" says his boss Manuel Pellegrini.

 

11 years ago

BBC

Pellegrini never doubted Toure form

Boss Manuel Pellegrini says he had no concerns over Yaya Toure after his goal in Manchester City's win over Aston Villa.

 

11 years ago

BBC

Toure to play in Moscow - Pellegrini

Yaya Toure will not have a problem returning to CSKA Moscow later this season, according to Manchester City boss Manuel Pellegrini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:''Hatumtegemei Yaya Toure''

Manuel Pelegrini ana matumaini kwamba Manchester City inaweza kupambana ili kushinda taji la ligi kuu nchini Uingereza bila yaya toure

 

9 years ago

BBCSwahili

Pellegrini: Aguero atarudi kutamba

Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini ameeleza matumaini yake kwamba Sergio Aguero ataanza kufunga tena mabao kwa wingi.

 

11 years ago

BBC

Pellegrini praises midfielder Toure

Manchester City boss Manuel Pellegrini praises Yaya Toure after the Ivorian scores a hat-trick in a 5-0 win over Fulham.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uefa yampiga marufuku Pellegrini

Kocha Manuel Pellegrini amepigwa marufuku mechi 2 na UEFA asisogelee eneo la kiufundi la uwanja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani