Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pellegrini ataka mataji manne

>Kocha wa klabu ya Manchester City, Manuel Pellegrini amesema anataka kutwaa mataji katika mashindano yote manne timu yake inayoshiriki katika msimu wake wa kwanza akiinoa klabu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Matic asema Chelsea itashinda mataji 4

Matic ambaye alijiunga tena na Chelsea kutoka Benfica kwa kitita cha pauni 21 mwezi Janauari amesema kuwa anaamini inawezekana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sterling asema mataji kwanza ndipo mali

Mchezaji wa Liverpool Raheem Sterling amesema kinachomshughulisha akili yake ni namna ya kutwaa mataji na si mali

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji sita na makocha wanne wametwaa mataji mengi zaidi

Ni nadra kwa mwanamichezo kushinda mataji mbalimbali katika maisha yake akiwa katika klabu au nchi tofauti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:''Guardiola hanitishi''

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa hana wasiwasi na ripoti zinazomuhusisha mkufunzi wa Bayern Munich Pep Guardiola na kazi yake.

 

11 years ago

BBC

Pellegrini praises midfielder Toure

Manchester City boss Manuel Pellegrini praises Yaya Toure after the Ivorian scores a hat-trick in a 5-0 win over Fulham.

 

10 years ago

BBC

Toure to play in Moscow - Pellegrini

Yaya Toure will not have a problem returning to CSKA Moscow later this season, according to Manchester City boss Manuel Pellegrini.

 

10 years ago

BBC

Pellegrini never doubted Toure form

Boss Manuel Pellegrini says he had no concerns over Yaya Toure after his goal in Manchester City's win over Aston Villa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:''Hatumtegemei Yaya Toure''

Manuel Pelegrini ana matumaini kwamba Manchester City inaweza kupambana ili kushinda taji la ligi kuu nchini Uingereza bila yaya toure

 

9 years ago

Mtanzania

Pellegrini amtabiria makubwa Guardiola

Pep GuardiolaMANCHESTER, ENGLAND

KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini, amedai kwamba klabu hiyo inaweza kufanya vizuri zaidi kama watafanikiwa kumchukua kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola.

Hata hivyo, kocha huyo amesema kuwa bado ana nafasi ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika mwaka 2017 japokuwa kuna uvumi wa Guardiola kutua hapo Januari mwakani.

Guardiola amekuwa akiwindwa na klabu nyingi za Ligi Kuu nchini England, lakini Man City wanaonekana kuwa katika hatua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani