Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matic asema Chelsea itashinda mataji 4

Matic ambaye alijiunga tena na Chelsea kutoka Benfica kwa kitita cha pauni 21 mwezi Janauari amesema kuwa anaamini inawezekana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho asema Chelsea itashinda ligi

Kilabu ya Chelsea itashinda ligi ya Uingereza,kocha wa kilabu hiyo Jose Mourinho amebashiri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sterling asema mataji kwanza ndipo mali

Mchezaji wa Liverpool Raheem Sterling amesema kinachomshughulisha akili yake ni namna ya kutwaa mataji na si mali

 

11 years ago

GPL

MATIC AREJEA CHELSEA

Kiungo raia wa Serbia Nemanja Matic amesajiliwa tena kwa mkataba wa miaka 5 na nusu. Chelsea imekamilisha uhamisho wa kiungo raia wa Serbia Nemanja Matic kutoka klabu ya Benfica ya Ureno. Matic ambaye anarejea Chelsea baada ya kuihama akiwa ni sehemu ya uhamisho wa beki David Luiz,amesajiliwa tena kwa mkataba wa miaka 5 na nusu kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 21. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 25 tayari… ...

 

11 years ago

Michuzi

Nape asema CCM itashinda kwa kishindo jimbo la Chalinze

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Bonnele,Chalinze mkoani Pwani,juu ya mwenendo wa Kampeni za CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze.Nape amesema kuwa mpaka sasa Kampeni za CCM zinakwenda vizuri na wanaimani watashinda kwa kishindo kwenye Uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Jumapili hii ya April 6,2014. Sehemu ya Waandishi wa habari wakimsikiliza Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye mapema leo.

 

5 years ago

Daily Mail

Nemanja Matic reveals Manchester United worked on set-piece routines ahead of Chelsea win

Nemanja Matic reveals Manchester United worked on set-piece routines ahead of Chelsea win  Daily Mail'One of the better ones I've ever seen' - Solskjaer hails Fernandes' set piece delivery  Goal.comBruno Fernandes reacts to Manchester United win vs Chelsea  Sportslens.comChelsea v Man United referee Anthony Taylor and VAR Chris Kavanagh are both from Manchester  GIVEMESPORT'Everyone knows that Pogba wants to leave' - Man Utd's star's brother fuels transfer speculation  Goal.comView Full...

 

11 years ago

Michuzi

Cesc Fabregas afunguka, asema Nimehamia Chelsea sababu Wenger kaniambia sina namba Arsenal

 Kiungo wa Spain  Cesc Fabregas (pichani) amefunguka leo kwa kusema alifanya mazungumzo na kocha wa Arsenal Arsene Wenge kabla ya kuhamia Chelsea, na kuambiwa kwamba nafasi yake tayari imeshacukuliwa na Mesut Ozil.  Fabregas alikuwa chagua la kwanza la Arsenal baada ya mchezaji huyo alipoamua kuondoka Barcelona mwishoni mwa msimu uliopita, lakini akamua kwenda Chelsea kwa dau la pauni milioni 30.  “Niliongea na Mzee Wenger naye akanambia atapata wakati mgumu kumpa nafasi ya kucheza kwani...

 

11 years ago

Mwananchi

Pellegrini ataka mataji manne

>Kocha wa klabu ya Manchester City, Manuel Pellegrini amesema anataka kutwaa mataji katika mashindano yote manne timu yake inayoshiriki katika msimu wake wa kwanza akiinoa klabu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji sita na makocha wanne wametwaa mataji mengi zaidi

Ni nadra kwa mwanamichezo kushinda mataji mbalimbali katika maisha yake akiwa katika klabu au nchi tofauti.

 

9 years ago

Mwananchi

Kikwete: CCM itashinda

Rais Jakaya Kikwete amemweleza Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM), kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani