Sterling asema mataji kwanza ndipo mali
Mchezaji wa Liverpool Raheem Sterling amesema kinachomshughulisha akili yake ni namna ya kutwaa mataji na si mali
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Matic asema Chelsea itashinda mataji 4
Matic ambaye alijiunga tena na Chelsea kutoka Benfica kwa kitita cha pauni 21 mwezi Janauari amesema kuwa anaamini inawezekana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/agg6MtdmQC0hLg2pPh*5r1JAdVPGbAkYZgGWzY5647yLXh9-vHh8wcweiOs32e2H8MBF912hr8nAxceu9l6uIqFd6JxbmFhg/nay.jpg)
NAY ATANGAZA MALI ZAKE, YAMO MAJUMBA, MAGARI, ASEMA KWA SASA YUPO SINGLE
STAA wa Bongo Fleva nchini, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefunguka kuhusu mali zake anazomiliki. Nay ameyafunguka hayo wakati akihojiwa katika Kipindi cha Sporah kinachoruka kupitia Runinga ya Clouds TV kila Jumanne usiku. Nay wa Mitego akipozi na Mtangazaji wa Kipindi cha Sporah. Staa huyo amesema anamiliki nyumba tatu, magari matatu ambayo ni Toyota Prado, Nissani Murano na Toyota Passo. Mbali ya vitu hivyo...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Waziri Prof Muhongo asema fedha za Escrow si mali ya umma, adai bado Serikali inadaiwa
Sakata la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow linaendelea kuchukua sura mpya baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo kutoa ufafanuzi wa Serikali bungeni mjini Dodoma kuwa fedha hizo si za umma na kwamba bado Serikali ina mzigo wa madeni katika sakata hilo.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Pellegrini ataka mataji manne
>Kocha wa klabu ya Manchester City, Manuel Pellegrini amesema anataka kutwaa mataji katika mashindano yote manne timu yake inayoshiriki katika msimu wake wa kwanza akiinoa klabu hiyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-O8nDvKK8t8w/XtYxCT2ymsI/AAAAAAACL6o/wZVb4JL2mXcCxkbF-WKT2INPX9BBqRiaQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200602_124802.jpg)
BABA WA UZAO AHIMIZA WAUMINI KUZALISHA MALI, ASEMA KANISANI SIYO MAHALA PA WENYE SHIDA NA MATATIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-O8nDvKK8t8w/XtYxCT2ymsI/AAAAAAACL6o/wZVb4JL2mXcCxkbF-WKT2INPX9BBqRiaQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200602_124802.jpg)
Kanisa Halisi la Mungu Baba limeonyesha kuwa miongoni mwa Taasisi za Kijamii ambazo zimeendelea kuunga mkono mwito wa Rais Dk. John Magufuli wa kuwataka Watanzania kuacha hofu dhidi ya Corona, badala yake wachape kazi za kujenga uchumi huku wakiendelea kuchukua thadhari tu dhidi ya ugonjwa huo.
Katika kuonyesha kuunga mkono mwito huo wa Rais, Kanisa hilo limekuwa likihamasisha waumini wake kufanyakazi za uzalishaji kila mmoja katika nafsi yake na kisha kuwakutanisha kwa...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Wachezaji sita na makocha wanne wametwaa mataji mengi zaidi
Ni nadra kwa mwanamichezo kushinda mataji mbalimbali katika maisha yake akiwa katika klabu au nchi tofauti.
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
CHANGIA DAMU NDIPO UOE
Ajali za barabarani duniani hutokea kila uchao, na wahitaji wa damu wanazidi huku idadi ya wachangia damu nayo ikizidi kushuka.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Hapa ndipo Mbowe ameitoa CHADEMA
DESEMBA 9, 2013 ni siku ambayo itabaki kuwa kumbukumbu ya vijana wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutokana na historia nzuri ya wapi chama hicho kimetoka, waliyoipata kwa...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
ZEE LA NYETI: Pale unapojishtukia ndipo watu wanapokupigia
>Mwanangu, siku ya nne leo sijakatiza mitaa ya Kariakoo. Najua mvua ishazingua sana kitaa kile, watu wameshaachia chemba zao, utawaeleza nini kudadadeki. Nawaachia wanangu akina Suma lee wanipe ripoti, kitu kikishakuwa drai, ntaibuka kuendeleza mitikasi kama kawaida.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania