Tishio la kutoweka kwa ndizi labadili mtindo wa maisha
Tishio la kutoweka kwa migomba mkoani Kagera mbali na kusababisha uhaba mkubwa wa chakula na kuyumbisha uchumi wa familia nyingi, pia mfumo wa maisha umebadilika ili kukabiliana na hali hiyo kwa sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Feb
FIGO: Matatizo yake, tishio kwa maisha ya Watanzania
>Hapa duniani kuna maradhi aina nyingi yanayotisha, yakisumbua binadamu, kuwatia ulemavu hata kuwa chanzo cha uchumi kutetereka, wakati mwingine kusababisha kifo. Miongoni mwa maradhi hayo ni kuharibika kwa figo.
10 years ago
Michuzi01 Jul
WAZIRI MKUU AHIMIZA WANANCHI KUEPUKANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA KUPIMA AFYA ZAO NA KUZINGATIA MTINDO BORA WA MAISHA
![1nh](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/1nh.jpg)
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri.
![2nh](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/2nh.jpg)
![nh3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/nh3.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 May
Mtindo bora wa maisha unavyoleta mageuzi kiafya
>Tabia na mienendo ya watu kimaisha imekuwa ni sababu ya matatizo kwao, jamii na hata kwa uchumi wa nchi ambao unahitaji sana nguvu kazi inayotokana na afya njema.
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Je,ulaji wa zaidi ya ndizi 6 kwa mpigo unauwa?
Mara nyingine husemekana kwamba ulaji wa ndizi nyingi kupita kiasi kwa mpigo unaweza kuhataraisha maisha yako.
9 years ago
MichuziTLB WANA SHAKA NA VYAMA VYA SIASA KWA KUTOWEKA MASLAHI NA HAKI KWA WATU WASIOONA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Rq6F0UDtxw4/VflfjZkX9eI/AAAAAAAAT4c/-hDQ9B24TsQ/s72-c/ASALIZZZ2.jpg)
MASK YA ASALI, NDIZI MBIVU na NDIMU kwa WALE WENYE USO WA MAFUTA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Rq6F0UDtxw4/VflfjZkX9eI/AAAAAAAAT4c/-hDQ9B24TsQ/s640/ASALIZZZ2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T2b2qczPt34/VflflCZvlzI/AAAAAAAAT4k/LJxhOaPo2UY/s640/ASALIZZ.jpg)
Kama mlivyoomba wadau kwa wale wenye USO wenye MAFUTA mengi hii ni MASK unayoweza kutumia ukiwa nyumbani na ikakuaaidia.
Nini cha kufanya:-
1. Ponda ponda NDIZI MBIVU MOJA mpaka iwe laini kabisa
2. Chukua KIJIKO KIMOJA CHA ASALI
3. Chukua KIJIKO KIMOJA CHA NDIMU
4. Changanya kwa pamoja vitu hivyo vizuri.
5. Paka mchanganyiko huo kwenye uso msafi kama inavyoonekana kwenye picha na kaa nao kuanzia dakika 15 hadi 30 kisha osha na maji ya uvuguvugu.
Unaweza tumia mask hii mara moja kwa...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Pangilia sebule yako kwa mtindo huu
Katika kipengele cha mitindo na utanashati, leo tutajikita katika kuangalia mpangilio wa veranda au sebule kama inavyofahamika na wengi.
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Floral prints: Mtindo maalumu kwa wanawake
Licha ya kuwepo maendeleo makubwa katika sayansi na teknolojia duniani, lakini ukweli ni kwamba kwenye tasnia ya mitindo mingi imekuwa ikijirudia .
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Kwa mtindo huu mkulima wa mahindi kunufaika ni ndoto
Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa michache nchini ambayo inaongoza kwa uzalishaji wa mazao ya chakula hususani mahindi.Mikoa mingine ambayo ni kinara katika uzalishaji wa zao hilo ni Iringa, Njombe, Rukwa, Katavi na Mbeya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania