Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tishio la kutoweka kwa ndizi labadili mtindo wa maisha

Tishio la kutoweka kwa migomba mkoani Kagera mbali na kusababisha uhaba mkubwa wa chakula na kuyumbisha uchumi wa familia nyingi, pia mfumo wa maisha umebadilika ili kukabiliana na hali hiyo kwa sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

FIGO: Matatizo yake, tishio kwa maisha ya Watanzania

>Hapa duniani kuna maradhi aina nyingi yanayotisha, yakisumbua binadamu, kuwatia ulemavu hata kuwa chanzo cha uchumi kutetereka, wakati mwingine kusababisha kifo. Miongoni mwa maradhi hayo ni kuharibika kwa figo.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AHIMIZA WANANCHI KUEPUKANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA KUPIMA AFYA ZAO NA KUZINGATIA MTINDO BORA WA MAISHA

1nh
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri. 2nhMh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF kuhusu huduma zinazotolewa na banda la NHIF katika Maonesho ya Wiki ya Serikali za Mitaa viwanja vya Mashujaa Mtwara. nh3Msururu wa wananchi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtindo bora wa maisha unavyoleta mageuzi kiafya

>Tabia na mienendo ya watu kimaisha imekuwa ni sababu ya matatizo kwao, jamii na hata kwa uchumi wa nchi ambao unahitaji sana nguvu kazi inayotokana na afya njema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,ulaji wa zaidi ya ndizi 6 kwa mpigo unauwa?

Mara nyingine husemekana kwamba ulaji wa ndizi nyingi kupita kiasi kwa mpigo unaweza kuhataraisha maisha yako.

 

9 years ago

Michuzi

TLB WANA SHAKA NA VYAMA VYA SIASA KWA KUTOWEKA MASLAHI NA HAKI KWA WATU WASIOONA

  Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Luis Benedicto (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo, kuhusu wasiona kutengwa katika mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia hatua ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. kutoka Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho, Jonas Lubago na Katibu Mkuu wa (TLB), Emmanuel Simon.
 Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika...

 

9 years ago

Michuzi

MASK YA ASALI, NDIZI MBIVU na NDIMU kwa WALE WENYE USO WA MAFUTA



Kama mlivyoomba wadau kwa wale wenye USO wenye MAFUTA mengi hii ni MASK unayoweza kutumia ukiwa nyumbani na ikakuaaidia.
Nini cha kufanya:-
1. Ponda ponda NDIZI MBIVU MOJA mpaka iwe laini kabisa
2. Chukua KIJIKO KIMOJA CHA ASALI
3. Chukua KIJIKO KIMOJA CHA NDIMU
4. Changanya kwa pamoja vitu hivyo vizuri.
5. Paka mchanganyiko huo kwenye uso msafi kama inavyoonekana kwenye picha na kaa nao kuanzia dakika 15 hadi 30 kisha osha na maji ya uvuguvugu.
Unaweza tumia mask hii mara moja kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Pangilia sebule yako kwa mtindo huu

Katika kipengele cha mitindo na utanashati, leo tutajikita katika kuangalia mpangilio wa veranda au sebule kama inavyofahamika na wengi.

 

11 years ago

Mwananchi

Floral prints: Mtindo maalumu kwa wanawake

Licha ya kuwepo maendeleo makubwa katika sayansi na teknolojia duniani, lakini ukweli ni kwamba kwenye tasnia ya mitindo mingi imekuwa ikijirudia .

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa mtindo huu mkulima wa mahindi kunufaika ni ndoto

Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa michache nchini ambayo inaongoza kwa uzalishaji wa mazao ya chakula hususani mahindi.Mikoa mingine ambayo ni kinara katika uzalishaji wa zao hilo ni Iringa, Njombe, Rukwa, Katavi na Mbeya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani