Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Floral prints: Mtindo maalumu kwa wanawake

Licha ya kuwepo maendeleo makubwa katika sayansi na teknolojia duniani, lakini ukweli ni kwamba kwenye tasnia ya mitindo mingi imekuwa ikijirudia .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WLAC YAENDESHA KONGAMANO LA UHAMASISHAJI KUPIGA KURA KWA WANAWAKE WALIO KATIKA MAKUNDI MAALUMU

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake na Watoto (WLAC), Theodosia Muhulo Nshala, akizungumza na wanahabari katika kongamano hilo. Mwanaharakati wa masuala ya haki za binadamu, Gema Akilimali, akitoa mada kwenye kongamano la uhamashaji upigaji kura lililofanyika Dar es Salaam leo asubuhi. Kongamano hilo liloandaliwa mahususi kwa watu wa kundi maalumu liliandaliwa na Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC)
 Mmoja wa washiriki wa kongamano hilo, Kuruthum Dindili...

 

10 years ago

Vijimambo

3CHICKZ WANAKULETEA AFRICAN PRINTS "PAMBA ZA KIJANJA" KWA BEI POA...PIA NYWELE NA VIPODOZI VINAPATIKANA!



























3chickz wanakuletea viwalo vyenye ladha ya kiafrika kwa bei poa kabisaa. Pata kivazi chako kikali na cha kijanja. Usikose maana wajanja wote mujini wanazo kasoro wewe tu.
Kwa mawasiliano waweza kutupata katika namba +1(347)-663-0781 na pia unaweza kutu follow kwenye Instagram (3chicks_bahia) ili upate kuona mambo mazuri zaidi.SASA

 

10 years ago

Habarileo

‘Wanawake, vijana watengewe fungu maalumu’

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda SERIKALI imeombwa kutenga fungu maalumu kwa ajili ya kusaidia makundi ya wanawake na vijana katika mipango yake ya mwaka huu ambayo itasimamiwa na halmashauri mbalimbali na kuwezesha miradi mbalimbali ya maendeleo na kujikwamua kiuchumi.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wanawake wenye watoto wawekwe gereza maalumu’

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Injinia Stella ManyanyaMKUU wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya amependekeza sherehe za maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini zitumike kwa wadau mbalimbali na viongozi wa dini kuchangia fedha ili watoto wanaoishi na mama zao magerezani waweze kuishi maisha ya staha kwa kujengewa jengo lao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Whimsical Floral Love Bridal Editorial

Simply Sweet Photography By Nomo Akisawa, along with hair stylist Hair by Brands and makeup artist: Jasmine Hoffman, decided to do this delightful session in the heart of Yaletown in downtown Vancouver. Jasmine created a floral eye piece that gave the shoot a romantic, whimsical feel and we simply love the pop of red it creates in this divine editorial shoot.

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-08

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-01

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-02

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-03

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-04

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-05

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-06

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-09

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-10

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-11

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-13

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-14

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-19

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu

DSC05830

Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba  hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.

DSC05834

Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Pangilia sebule yako kwa mtindo huu

Katika kipengele cha mitindo na utanashati, leo tutajikita katika kuangalia mpangilio wa veranda au sebule kama inavyofahamika na wengi.

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAZINDUA MPANGO MAALUMU WA KUWAWEZESHA WANAWAKE KUSHIKA NAFASI ZA UONGOZI

Benki ya CRDB imezindua mpango maalum wa kuwawezesha wafanyakazi wanawake katika nyanja mbalimbali ili  waweze  kushika nafasi za uongozi.
Akizindua mpango huo katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Abdulmajid Nsekela alisema, Mpango huo ni mahususi katika kuwawezesha wanawake wa CRDB Banki ili waweze kuwa viongozi katika nyanja mbalimbali pamoja na kuwafanya waweze kujiamini na kukamata fursa zilizopo.
Mpago huo ni mwendelezo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA TRUMARK YAANDAA WARSHA MAALUMU KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Trumark, Agnes Mgongo (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu warsha maalumu iliyoandaliwa na kampuni hiyo katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Machi 7, 2015 ukumbi wa Mlimani City. Wengine kutoka kushoto ni maofisa wa Trumark, Antu Mandoza na Nuru Lyau.Mratibu wa Warsha hiyo Antu Mandoza (kulia), akisisitiza jambo wakati akizungumza na wanahabari. Kushoto ni Mratibu Msaidizi wa warsha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani