Watoto 800 walawitiwa Tanzania
JUMLA ya watoto 863, wanaripotiwa kufanyiwa vitendo vya ulawiti huku wanaowafanyia hivyo wakiwa ni ndugu zao wa karibu. Pia watoto 250 wametupwa na kutelekezwa huku 142 wakiwa wametekwa na 10...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Apr
Watoto 800 wamelawitiwa Tanzania 2013
Ripoti ya kutetea Haki za binadamu imesema watoto 800 walilawitiwa mwaka 2013 nchini Tanzania.
10 years ago
Habarileo05 Sep
Watoto wabakwa, walawitiwa, watobolewa macho
VITENDO vya ukatili kwa watoto ni changamoto kubwa katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa kutokana na kuripotiwa watoto 140 waliobakwa, kutobolewa macho, kulawitiwa, kutelekezwa na wengine kupoteza maisha.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRn2ZwsTVQM-bup*JwFYWz1UIMK15fwBsCaEMSNkatkrCH5VhAbbPfY-dZWmayOwH*uLXNxNQzgEInmv3Gu94TXb/denti.jpg)
MADENTI WATANO WALAWITIWA KWA MPIGO NA MWENZAO!
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro. Dunia imekwisha! Jeshi la polisi mkoani hapa linamshikilia mtoto wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la sita kwa tuhuma nzito ya kuwalawiti wenzake watano kwa mpigo. Watoto waliolawitiwa na mwenzao mwenye miaka 14. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri katika Mtaa wa Twanga Pepeta Kijiji cha Fulwe-Dindili Kata ya Mikese Wilaya ya Morogoro Vijijini mkoani hapa ambapo dogo huyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s72-c/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 21 YA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WASHUKA KUTOKA MLIMA KILIMANJARO,WACHANGISHA MILIONI 800 KWA AJILI YA ELIMU TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s640/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cCN8zZglqsg/VZHCwcMpjII/AAAAAAAARk0/Gy5SORXD49E/s640/E86A1893%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_fT-hj1aXo/VZHCxONJ9jI/AAAAAAAARk4/nViv3ApWAUU/s640/E86A1898%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oL1ZaEtiEBA/VZHC42LrgoI/AAAAAAAARlE/IgTbFcRJ7_0/s640/E86A1913%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana. DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.… ...
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-InFyQFNoFgQ/VQ4K7XK8KCI/AAAAAAADdWg/swPHW48bTVY/s72-c/4d8d74925f4fc2e85a3c391903f4a016.jpg)
TANZANIA CHILDREN'S PROJECT YAFANYA HARAMBEE KUSAIDIA WATOTO TANZANIA COLUMBIA, MARYLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-InFyQFNoFgQ/VQ4K7XK8KCI/AAAAAAADdWg/swPHW48bTVY/s1600/4d8d74925f4fc2e85a3c391903f4a016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SvhYEWFgAeQ/VQ4K_RFthLI/AAAAAAADdWk/VlkjHDl0Hqk/s1600/e3c41c65719aad8e7ad47fc986c7cc12.jpg)
10 years ago
TheCitizen09 May
800 young people to be trained
>More than 800 young people from Ilala and Temeke districts will benefit by a Sh421.39 million empowerment project.
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Huenda 800 waliangamia baharini
Umoja wa Mataifa unasema kuwa huenda watu 800 walifariki Jumapili, pale mashua waliyokuwa wakilitumia ilipozama baharini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania