Vyoo vipya 18 vya Skuli ya Kijitoupele Zanzibar vyafunguliwa rasmi
![](http://4.bp.blogspot.com/-QAml1a2KFtY/U1Y7lneU4RI/AAAAAAAFcSk/96yZd-tRBjs/s72-c/267.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akivizindua rasmi vyoo vya Skuli ya Kijitoupele A, B na Sekondari pamoja na Mifereji na Tangi la Maji vilivyojengwa na ufadhili ya Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Watoto { UNECEF }.
Mifereji Maalum iliyozunguukwa na wanafunzi kwenye sherehe ya kuzinduliwa rasmi ambayo imejengwa kwa ajili ya kuhudumia wanafunzi wa Skuli ya Kijitoupele A,B na Sekondari.
Moja kati ya madarasa ya skuli ya msingi ya Kijitoupele yanaonekana kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF IDDI AFUNGUA RASMI SKULI YA SECONDARY YA FARAJA ZANZIBAR
11 years ago
BBCSwahili15 Feb
Viwanja vya ndege vyafunguliwa indonesia
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA VYOO MANISPAA YA SHINYANGA..AKUTANA NA VYOO VYA AJABU...KIMO CHA KULENGA KWENYE BOMBA
Hiki choo cha ajabu kiko Shinyanga maelezo yapo chini.Leo Jumatatu Novemba 30,2015 ambapo mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameanza kufanya ziara kutembelea kata za manispaa hiyo ili kuangalia hali ya usafi wa mazingira kubwa zaidi ni kukagua vyoo vya wananchi ilimkukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.Mkuu huyo wa wilaya ya Shinyanga alikuwa ameambatana na mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna,mwanasheria wa manispaa hiyo Simon Jilanga,afisa afya wa manispaa hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y3ttVql3MXE/VX5LmSSHAqI/AAAAAAAHfaE/AjbRH1RNvhU/s72-c/DSC_0044.jpg)
MAADHIMISHO YA MIAKA 90 YA SKULI YA NDIJANI, ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-y3ttVql3MXE/VX5LmSSHAqI/AAAAAAAHfaE/AjbRH1RNvhU/s640/DSC_0044.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xx4_s_6kVRs/VX5LnjQF8AI/AAAAAAAHfaM/ZDaunz6EQU4/s640/DSC_0086.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1tL15OZmbuM/VUamcIQNgvI/AAAAAAAHVCI/WfF3dgl_FUs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
mhe mizengo pinda akabidhi madawati skuli ya kiembesamaki, zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-1tL15OZmbuM/VUamcIQNgvI/AAAAAAAHVCI/WfF3dgl_FUs/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eof9NweqcHs/VUamcPb6xlI/AAAAAAAHVB8/CUqMi61FJYk/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Dkt. Bilal aweka jiwe la msingi ujenzi wa mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo vya wasafiri katika kijiji cha Idetero, Mufindi-Iringa
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mgimwa, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais Dkt. Bilal, kuhutubia wananchi wa Kijiji cha Idetero Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa, wakati wa hafla ya uwekaji Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Vituo vya Mapumziko na Vyoo vya Wasafiri katika Barabara Kuu nchini, jana Okt 17, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Idetero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SGWaOkf8ZAo/XpsRamJjeQI/AAAAAAALnU8/o1hxwyL_RbwuFvuqMbeCQaMa-04ApY-lgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.54%2BPM.jpeg)
SIMU YA TECNO CAMON 15 SASA YAZINDULIWA RASMI, WAPENZI WA VITU VIPYA WAKARIBISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SGWaOkf8ZAo/XpsRamJjeQI/AAAAAAALnU8/o1hxwyL_RbwuFvuqMbeCQaMa-04ApY-lgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.54%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUYgLIwASe4/XpsRaWkPgQI/AAAAAAALnU4/TW4E5j2i1H0NLsKQ5_SyHwUOEz3SFSNZACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.46%2BPM.jpeg)