Anna Abdallah ataka vigogo wapigwe rungu
Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya Wabunge wa CCM, Anna Abdallah amesema wanachama wote wanaoendelea kukiuka kanuni na taratibu za chama hicho, lazima wachukuliwe hatua kali za kinidhamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Makinda, Anna Abdallah, Ndugai ‘out’
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda, Naibu wake, Job Ndugai na mmoja wa wabunge wakongwe hap
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi05 Sep
‘Nigeria wapigwe leo’
11 years ago
Mwananchi10 Mar
‘Wajumbe 201 Bunge la Katiba wapigwe msasa’
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Hoja ya Lipumba yajadiliwa Bungeni, Kauli ya ‘wapigwe tu’ yajirudia
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw
MOJA ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua, kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...
10 years ago
VijimamboWapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪
Wengine ni Buksh Mohamed,...
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Rungu jipya la Magufuli
*Fagio la kupunguza wafanyakazi mashirika ya umma
*Posho za wabunge vikao vya bodi zapigwa marufuku
RUTH MNKENI NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
SERIKALI ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Magufuli, imeshusha rungu jipya kwa kutangaza uamuzi mchungu wa kupunguza wafanyakazi katika taasisi na mashirika ya umma ambayo yameonekana kuwa mzigo katika utendaji.
Mashirika hayo yameelezwa licha ya kuwa na watumishi wengi, lakini bado uzalishaji na utendaji wake umekuwa hauna tija kwa taifa.
Hayo...
10 years ago
Habarileo09 Oct
AG apewa rungu kura ya maoni
WAKATI kukiwa na matamanio na ushauri wa kutaka Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha Katiba Mpya inapatikana kabla ya kuondoka madarakani, suala hilo limeachwa kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupatiwa ufumbuzi.
10 years ago
Habarileo05 Nov
Kamati ya Zitto yapewa rungu
BUNGE limesema hakuna mgongano wowote baina ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) na ile ya Nishati na Madini katika kushughulikia mikataba ya wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.