Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Nigeria wapigwe leo’

Tutawapiga tu! Ndivyo kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwasa, wachezaji na mashabiki wa soka nchini wanavyoamini kuwa Nigeria lazima wapigwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Anna Abdallah ataka vigogo wapigwe rungu

Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya Wabunge wa CCM, Anna Abdallah amesema wanachama wote wanaoendelea kukiuka kanuni na taratibu za chama hicho, lazima wachukuliwe hatua kali za kinidhamu.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wajumbe 201 Bunge la Katiba wapigwe msasa’

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Haroub Mohamed Shamsi ameuomba uongozi wa chombo hicho kuangalia uwezekano wa kuwapiga msasa wajumbe 201 walioteuliwa na Rais ili wazifahamu kanuni.

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja ya Lipumba yajadiliwa Bungeni, Kauli ya ‘wapigwe tu’ yajirudia

Bunge la Jamhuri ya Muungano leo limejadili kitendo cha uvunjifu wa amani uliotokea kwenye maandamano ya CUF yaliyoongozwa na Profesa Ibrahimu Lipumba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw

MOJA  ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua,  kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪

Raia 12 wa Iran na Pakistan wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin kilo 200.5, zenye thamani ya sh. bilioni 9.02, wamelalamikia kucheleweshwa kwa kesi yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Washtakiwa hao ni Kapteni Ayoub Mohamed, Buksh Mohamed, Fahiz Dauda, Khalid Ally, Abdul Somad, Saeed Sahury, Bashir Afraz, Morad Gwaram na Hazir Azad, wote raia wa Iran ambao walikamatwa kwenye Bahari ya Tanzania.
Wengine ni Buksh Mohamed,...

 

10 years ago

GPL

NIGERIA KUCHAGUWA MAGAVANA NA WABUNGE LEO

Masanduku ya kupigia kura nchini Nigeria. Rais mteule wa Nigeria Bw. Muhammadu Buhari. Wapiga kura nchini Nigeria wanapiga kura leo kuchagua magavana wa majimbo pamoja na wabunge. Chama cha APC kinatarajiwa kupata ushindi mkubwa baaada ya mgombea wake wa urais aliyekuwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Muhammadu Buhari kumshinda aliyekuwa rais wan chi hiyo Goodluck Jonathan kwa kura zaidi ya millioni 2 katika uchaguzi mkuu wa nchi...

 

10 years ago

StarTV

Matokeo ya uchaguzi Nigeria kujulikana leo.

Mkuu wa Tume Huru ya Uchaguzi nchini Nigeria amesema anatumaini kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa rais nchini humo ifikapo Jumatatu jioni.

Upigaji kura uliendelea katika siku ya pili ya uchgaguzi baada ya kutokea hitilafu katika kadi za kielektroniki na kuchelewesha usajili wa baadhi ya wapiga kura.

Mama akipiga kura nchini Nigeria

Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi, INEC, Attahiru Jega. “Tumaini letu na ambalo tumekuwa tukilifanyia kazi kwa bidii ni kuweza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Muhammadu Buhari kuapishwa leo

Rais mpya wa Nigeria Muhammadu Buhari leo ameratibiwa kuchukua rasmi uongozi kutoka kwa Goodluck Jonathan baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu

 

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya uchaguzi Nigeria leo jioni

Matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Nigeria yanatarajiwa kutangazwa Jumatatu jioni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani