Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Zitto yapewa rungu

Naibu Spika wa Bunge, Job NdugaiBUNGE limesema hakuna mgongano wowote baina ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) na ile ya Nishati na Madini katika kushughulikia mikataba ya wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kamati ya Maridhiano yapewa rungu

BUNGE Maalumu la Katiba limeelezwa kuwa kamati ya mashauriano, ndio itakayokuwa na mamlaka ya kushughulikia malalamiko mbalimbali ya makundi ya wabunge, iwapo itatokea miongoni mwa makundi yaliyoko bungeni, yatasusia kikao cha Bunge.

 

11 years ago

Habarileo

Takukuru yapewa rungu fedha za halmashauri

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala imetaka Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuanzisha dawati maalumu katika Wizara ya Fedha, kufuatilia kwa karibu fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika halmashauri mbalimbali nchini.

 

5 years ago

Michuzi

TMA YAPEWA RUNGU LA KUWACHAJI WALE WANAOTAKA TAKWIMU KWA AJILI YA SHUGHULI ZA USANIFU MAJENGO

Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imetoa ruhusa kwa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) kuwatoza fedha wale wote wanaohitaji takwimu za hali ya hewa kwa ajili ya usanifu miradi mbalimbali ili kufanya kazi za kisanifu.

Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Dk Leonard Chamuriho alipokua akifungua mafunzo yenye lengo la kudhibiti na kusaidia ukusanyawashiriki paato kwa menejimenti ya Mamlaka hiyo ya hewa.

Dk.Chamuriho amesema kuwa wanaosanifu muindombinu ya ujenzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge laigeuka Kamati ya Zitto

 Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah amesema Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), chini ya Zitto Kabwe haikufuata utaratibu ilipoagiza Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwanda na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, James Andilile wakamatwe na polisi kwa kushindwa kuwasilisha mikataba 26 ya gesi na mapitio yake mbele ya kamati hiyo tangu mwaka 2012.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), jana iligeuka ‘mwiba mkali’ kwa watendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Kampuni ya Ranchi ya Taifa (Narco) na Wizara ya Nishati na Madini, baada ya kuwatimua wakurugenzi na wenyeviti wa bodi kwa kushindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma, uzembe na wizi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kamati ya Zitto yafufua ufisadi EPA

KAMATI ya Hesabu za Serikali (PAC), imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuifikishia taarifa ya kushindwa kufanya kazi kwa kampuni ya Lazard Freres iliyokuwa inachunguza ufisadi wa sh. bilioni 42.6...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yataka ukaguzi IPTL

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeagiza ukaguzi maalumu katika uuzaji wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na utoaji wa fedha katika akaunti ya Escrow Benki Kuu Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yampa Gavana saa 48

 Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imempa saa 48 Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu kuipatia kamati hiyo taarifa ya kushindwa kufanya kazi kwa Kampuni ya Lazard Freres iliyokuwa inachunguza Sh42.6 bilioni zilizobaki katika uchunguzi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (Epa).

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto kuanza kazi wiki ijayo

Taasisi za Serikali na mashirika ya umma zitakuwa na wakati mgumu pale zitakapoanza kujitokeza mbele Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kama zitakuwa zimefanya matumizi ya fedha za umma kinyume na utaratibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani