Kamati ya Zitto yapewa rungu
BUNGE limesema hakuna mgongano wowote baina ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) na ile ya Nishati na Madini katika kushughulikia mikataba ya wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Mar
Kamati ya Maridhiano yapewa rungu
BUNGE Maalumu la Katiba limeelezwa kuwa kamati ya mashauriano, ndio itakayokuwa na mamlaka ya kushughulikia malalamiko mbalimbali ya makundi ya wabunge, iwapo itatokea miongoni mwa makundi yaliyoko bungeni, yatasusia kikao cha Bunge.
11 years ago
Habarileo31 Jan
Takukuru yapewa rungu fedha za halmashauri
KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala imetaka Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuanzisha dawati maalumu katika Wizara ya Fedha, kufuatilia kwa karibu fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika halmashauri mbalimbali nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bcGMWSj__pE/XmZXpcav1-I/AAAAAAALiTQ/-jVnvWS9SOAYkN521BRiPRvtTdqbp20igCLcBGAsYHQ/s72-c/333d3412-f496-4b06-8938-1bc656258130.jpg)
TMA YAPEWA RUNGU LA KUWACHAJI WALE WANAOTAKA TAKWIMU KWA AJILI YA SHUGHULI ZA USANIFU MAJENGO
SERIKALI imetoa ruhusa kwa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) kuwatoza fedha wale wote wanaohitaji takwimu za hali ya hewa kwa ajili ya usanifu miradi mbalimbali ili kufanya kazi za kisanifu.
Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Dk Leonard Chamuriho alipokua akifungua mafunzo yenye lengo la kudhibiti na kusaidia ukusanyawashiriki paato kwa menejimenti ya Mamlaka hiyo ya hewa.
Dk.Chamuriho amesema kuwa wanaosanifu muindombinu ya ujenzi...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Bunge laigeuka Kamati ya Zitto
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kamati ya Zitto yafufua ufisadi EPA
KAMATI ya Hesabu za Serikali (PAC), imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuifikishia taarifa ya kushindwa kufanya kazi kwa kampuni ya Lazard Freres iliyokuwa inachunguza ufisadi wa sh. bilioni 42.6...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Kamati ya Zitto yataka ukaguzi IPTL
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Kamati ya Zitto yampa Gavana saa 48
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Kamati ya Zitto kuanza kazi wiki ijayo