Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMA YAPEWA RUNGU LA KUWACHAJI WALE WANAOTAKA TAKWIMU KWA AJILI YA SHUGHULI ZA USANIFU MAJENGO

Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imetoa ruhusa kwa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) kuwatoza fedha wale wote wanaohitaji takwimu za hali ya hewa kwa ajili ya usanifu miradi mbalimbali ili kufanya kazi za kisanifu.

Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Dk Leonard Chamuriho alipokua akifungua mafunzo yenye lengo la kudhibiti na kusaidia ukusanyawashiriki paato kwa menejimenti ya Mamlaka hiyo ya hewa.

Dk.Chamuriho amesema kuwa wanaosanifu muindombinu ya ujenzi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Zitto yapewa rungu

Naibu Spika wa Bunge, Job NdugaiBUNGE limesema hakuna mgongano wowote baina ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) na ile ya Nishati na Madini katika kushughulikia mikataba ya wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.

 

11 years ago

Habarileo

Kamati ya Maridhiano yapewa rungu

BUNGE Maalumu la Katiba limeelezwa kuwa kamati ya mashauriano, ndio itakayokuwa na mamlaka ya kushughulikia malalamiko mbalimbali ya makundi ya wabunge, iwapo itatokea miongoni mwa makundi yaliyoko bungeni, yatasusia kikao cha Bunge.

 

11 years ago

Habarileo

Takukuru yapewa rungu fedha za halmashauri

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala imetaka Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuanzisha dawati maalumu katika Wizara ya Fedha, kufuatilia kwa karibu fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika halmashauri mbalimbali nchini.

 

10 years ago

GPL

SHERIA MPYA YA TAKWIMU KUONGEZA UFANISI WA SHUGHULI ZA KITAFITI NA UPATIKANAJI WA TAKWIMU SAHIHI NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu ujio wa sheria mpya ya Takwimu  ya mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge Mwezi Machi mwaka huu leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi hiyo Bw. Morrice Oyuke.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu

DSC06161Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu

Na Nathaniel Limu

Serikali kuu imeipatia msaada  halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.

Hayo yamesemwa juzi  na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Bodi ya wabunifu majengo yapewa changamoto

NAIBU Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahman Kaniki, ameipa changamoto bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuhakikisha majengo yanayojengwa nchini yanakuwa bora na salama kwa makazi ya watu na kuepusha majanga ya majengo kuporomoka kama ilivyowahi kutokea.

 

9 years ago

Mwananchi

IMTU yapewa siku 14 kuhama majengo ya NDC

Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Teknolojia na Tiba (IMTU), kimeingia katika sakata jipya la kuamriwa kuhama ndani ya siku 14 kutokana na kushindwa kulipa kodi ya zaidi ya Sh3 bilioni.

 

10 years ago

Vijimambo

ZIMBABWE YAIPA MAJENGO SADC KWA AJILI YA KITUO CHA KUFUNDISHIA WALINDA AMANI


Rais wa Zimbabwe na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Mhe. Robert Mugabe akiangalia Hati Miliki ya Majengo ambayo Serikali ya Zimbabwe imetoa kwa SADC kuwa Kituo cha Kufundishia Walinda Amani. Hati hiyo ilikabidhiwa kwa Katibu Mtendaji wa SADC, Dkt. Stergomena Tax anayeonekana kushoto. Majengo hayo yapo kwenye kiwanja chenye ukubwa wa ekari 16 ambayo Zimbabwe imetoa bure kwa SADC kama mchango wake wa kuhamasisha amani na utulivu barani Afrika.
Rais Mugabe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani