Kamati ya Zitto yampa Gavana saa 48
 Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imempa saa 48 Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu kuipatia kamati hiyo taarifa ya kushindwa kufanya kazi kwa Kampuni ya Lazard Freres iliyokuwa inachunguza Sh42.6 bilioni zilizobaki katika uchunguzi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (Epa).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 May
Kamati yampa Waziri Nyalandu muda zaidi
10 years ago
VijimamboKAMATI YA LEMBELI YAMPA MIEZI MITATU WAZIRI MWENYE DHAMANA YA MAZINGIRA KUIBANA MIGODI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HUKUMU YA ZITTO KABWE KESHO SAA NANE
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Saa 48 Kamati ya PAC zatimia leo
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3534&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
5 years ago
Bongo514 Feb
Simba yaendelea kubaki na pointi ilizopewa na kamati ya saa 72
Kamati ya katiba, Sheria na hadhi za wachezaji ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) limemaliza kikao chake na klabu ya Simba usiku wa kuamkia leo na kuazimia Simba inaendelea kubaki na pointi ilizopewa na Kagera Sugar.
Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa (kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuahirisha kikao.
Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Celestine, amesema kamati hiyo itakaa tena na pamoja na mashahidi wengine kuhojiwa. “Kuna watu wanatakiwa kuhojiwa, na kamati itakaa wiki...
10 years ago
Habarileo05 Nov
Kamati ya Zitto yapewa rungu
BUNGE limesema hakuna mgongano wowote baina ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) na ile ya Nishati na Madini katika kushughulikia mikataba ya wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Bunge laigeuka Kamati ya Zitto
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kamati ya Zitto yafufua ufisadi EPA
KAMATI ya Hesabu za Serikali (PAC), imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuifikishia taarifa ya kushindwa kufanya kazi kwa kampuni ya Lazard Freres iliyokuwa inachunguza ufisadi wa sh. bilioni 42.6...