Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati yampa Waziri Nyalandu muda zaidi

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Mazingira imemwongezea muda Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kuifanyia marekebisho bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka 2015/2016 iliyokataliwa baada ya kubainika kuwa na kasoro kadhaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KAMATI YA LEMBELI YAMPA MIEZI MITATU WAZIRI MWENYE DHAMANA YA MAZINGIRA KUIBANA MIGODI

 Baadhi ya waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika ziara ya kutembelea migodi ya dhahabu na kamati ya mazingira ,ardhi nyumba na maendeleo katika mgodi wa buzwagi . Mmoja wa watalamu  wa kigeni akiwakaribisha baadhi ya wana habari katika ziara ya kamati ya mazingira .
 kamati ya Bunge Ardhi maliasili na mazingira wakiwasili katika mgodi wa buzwagi wilayani kahama . Mwenyekiti wa kamati ya Ardhi maliasili na mazingira mh  James Lembeli.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya bunge ya...

 

10 years ago

Michuzi

Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda

Kiongozi wa mshataka katika mahakama 
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda

Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yampa Gavana saa 48

 Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imempa saa 48 Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu kuipatia kamati hiyo taarifa ya kushindwa kufanya kazi kwa Kampuni ya Lazard Freres iliyokuwa inachunguza Sh42.6 bilioni zilizobaki katika uchunguzi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (Epa).

 

10 years ago

GPL

WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN

Mh. Waziri  Nyalandu akihojiwa katika banda la Tanzania na mwandishi wa habari wa kituo cha Televisheni cha Check inn cha Qatar Bw. Tajamul Hussain kuhusu utalii wa Tanzania kwa ujumla. MKurugenzi wa kampuni ya usafirishaji watalii ya Zara tours…

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN

Na Geofrey Tengeneza – Berlin Ujerumani Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu amekutana na waziri mwenzake wa Biashara na Utalii wa Kenya Bibi Phylis Kandie katika banda la Kenya na kuwa na mazungumzo yanayohusu ushirikiano wa nchi mbili katika sekta ya Utalii. Mazungumzo hayo hayakuwa rasmi hivyo hayakuhudhuriwa na wandishi wa habari Aidha Wiziri Nyalandu alitembelea banda la Tanzania na kuzungumza na washiriki wa maonesho ya ITB kutoka makampuni mbalimbali washiriki hao kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyalandu amtimua Mkurugenzi Wanyamapori Kamati ya Bunge

Hatua ya kurejeshwa kazini Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa baada ya kutimuliwa kazi na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu imeibua mapya baada ya mkurugenzi huyo kutimuliwa katika Kamati ya Bunge jana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu akutana na kamati ya bunge la Norway Jijini Dar

FPE_DIT 041

Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu, akizungumza na Mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na Utalii ya Bunge la Norway,Ola Eluestuen (kushoto) na Balozi wa nchi hiyo hapa Tanzania Hanne-Mariekaarstad, walipofika ofisini kwake muda mfupi kabla ya kuzungumza na kamati nzima ya bunge hilo.

FPE_DIT 095

Waziri Nyalandu akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo ya Maliasili na Mazingira mara baada ya kuzanza kwa mkutano huo jijini Dar es Salaam jana.

FPE_DIT 087

FPE_DIT 114

Waziri Nyalandu akisalimiana na mwenyekiti wa kamati...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Prof. Jumanne Maghembe (wa pili kushoto) akikabidhiwa taarifa ya makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Lazaro Nyalandu (wa pili kulia) leo tarehe 29 Desemba 2015 ofisini kwake Mpingo House. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Adelhelm Meru (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Ndugu Selestine Gesimba (kulia).Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Mhe. Lazaro...

 

11 years ago

Habarileo

Kamati za Bunge zalia na muda

ASILIMIA kubwa ya Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba, zimedai muda uliotolewa kujadili sura mbili hautoshi, hivyo zinatarajia kuomba kuongezewa, zikamilishe. Kamati hizo 12 zilianza tangu juzi kujadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu hiyo na zilitakiwa kukamilisha kazi hiyo kabla ya leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani