SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA - ANNE MAKINDA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MAKINDA.jpg?width=650)
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam kuhusiana na kuachana na uongozi katika siasa. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda leo jijini Dar es Salaam. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aRzRwGR9Tn8/VkWsK-Ey-sI/AAAAAAAIFo8/RT45NrrSYhw/s72-c/IMG_4147.jpg)
SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA-ANNE MAKINDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aRzRwGR9Tn8/VkWsK-Ey-sI/AAAAAAAIFo8/RT45NrrSYhw/s640/IMG_4147.jpg)
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda amejing'atua rasmi na kuachana na uongozi katika siasa kutokana na kufanya kazi za Siasa kwa miaka 40.
ameyasema hayo alipokua akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Mh. Anne Makinda kutogembea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamko la kutogombea Uspika Msimu huu hawapo pichani katika mkutano wake uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
Waandishi wa habari wakifatilia kwa makini maelezo anayotoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda hayupo pichani alipotoa tamko la kutogombea tena Uspika wa Bunge msimu huu.
Spika wa bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda...
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Makinda aukimbia uspika
*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni
*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.
Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...
9 years ago
StarTV14 Nov
Anna Makinda aeleza dhamira ya kutogombea uspika
Spika wa Bunge la Tanzania Anna Makinda ameelezea dhamira yake ya kutogombea kwa mara nyingine nafasi hiyo ya uspika na kusema kipindi cha miaka 40 ndani ya Bunge kimetosha, na sasa atasalia kuwa mshauri kwa spika wa bunge lijalo.
Spika Makinda amehudumu kama spika kwenye bunge hilo kwa kipindi cha miaka mitano, na sasa anaamua kustaafu uongozi ndani ya siasa.
Spika Makinda anaondoka huku akiacha historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge la Tanzania, ambaye pia anajivunia...
10 years ago
IPPmedia19 Mar
National Assembly Speaker, Anne Makinda
IPPmedia
IPPmedia
National Assembly Speaker Anne Makinda has confirmed receiving The Access to Information and The Media Services bills, 2015 but denied they were filed under a certificate of urgency. The Speaker was responding to a question by Chonga MP Haroub ...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge
11 years ago
IPPmedia06 Mar
Speaker of the National Assembly Anne Makinda
IPPmedia
IPPmedia
The 629 members of the Constituent Assembly (CA) will be individually sworn in before they start discussing the draft constitution, after the committee's proposal for group oath was rejected. The exercise comes with a cost though. It will take at least three days, ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s72-c/IMG_20150427_104647.jpg)
Spika Anne Makinda ziarani nchina China
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s1600/IMG_20150427_104647.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIQkBdoHvqA/VT4WAJHHSZI/AAAAAAAHTeA/YK2hdSFavw8/s1600/IMG_20150427_112753.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LhAZh_wmxa4/VT4WEVFT1DI/AAAAAAAHTeI/bul2RHOibUg/s1600/IMG_20150427_120550.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 May
Kambi ya upinzani yamshukia Spika Anne Makinda